Hapa ndio nilikua nashangaaEss salary slip za July zimekosewa wakuu nahisi wanarekebisha hilo kwanza
Sijajua ni Kwangu tu ama na Kwa wengine
Hebu nanyie angalieni kwanza
Afu wanatoaje slip na hawajaingiza mshiko doh!
Smart911
Jamaa huwa ananifurahisha mnooo tena anajibu kwa confidenceHahaha! Umeigundua clip ya yule mwamba.
Hakuna alichojibu kwa usahihi hata kimoja.
I know what you mean! Makato ya bank hayaonekani!Ess salary slip za July zimekosewa wakuu nahisi wanarekebisha hilo kwanza
Sijajua ni Kwangu tu ama na Kwa wengine
Hebu nanyie angalieni kwanza
Afu wanatoaje slip na hawajaingiza mshiko doh!
Smart911
Yani namie nimeshangaa sana slip ya July Nimeangalia baada ya kusoma koment ya jamaa hapo juu kuangalia ikakubali wakati siku zote nikiangalia tarehe za mshahara hata Siku mbiltatu huwa inagoma hadi siku nne tano mbeleHapa ndio nilikua nashangaa
Maana najua salary slip inatoka baadae
True. Take home yangu ni ile ile ya siku zote, but makato hawajaweka...
Mambo ya kupanda madaraja!Mie basic imeongezeka take home pia imeongezeka hilo la Bank wamekata but hawajaonesha kwa slip.
Kuna slip ya mtu walivochanganya makato unaeza cheka kama mazuri walai kweli mwezi huu serekaaa imekua na jam ya Mambo mengi hadi vitu vinakua vuluvulu
Cc Smart911
kwan hauna frij mkuu.why umwage mboga ya taifa.Hatari kuna mtu alikuwa ananitania ushasoma ,mi nikachukulia serious .Nikatoa amri wamwage maharagwe yote ,ntakuja na mboga.Ni kamzozoππ
Na kamlango mmoja unit zinasoma 0.53.kwan hauna frij mkuu.why umwage mboga ya taifa.
Utatoboa mzee?Na kamlango mmoja unit zinasoma 0.53.
Ntatoboa tu ,usipotoka kesho naipaka mafuta ya Mwamposa luku.Utatoboa mzee?
Inaonyesha vizuri sema tumia chrome ndio ina power kidogo.Simu huwa haionyeshi
Labda mkeka wa kamari ππππCrdb Oyee mkeka umesoma wakuu.
Mkuu wala sitaniiLabda mkeka wa kamari ππππ
Mimi pia sitanii, huo mkeka ni wa kamari bila shaka π€£π€£π€£Mkuu wala sitanii
Kumbe kweli hizi taasisi za serikali zinatofautianaMimi pia sitanii, huo mkeka ni wa kamari bila shaka π€£π€£π€£
Mimi niko kwenye agency.Kumbe kweli hizi taasisi za serikali zinatofautiana