Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Hahaha tatizo wanafanya kama wanatusaidia wakati jasho letu.
Kama serikali ingekuwa stable kwenye makusanyo, wangeweka tangazo kuwa tarehe rasmi ya mishahara ni tarehe 24 ya kila mwezi. Wakahakikishe inakuwa hivyo, nyuzi kama hizi zitapotea zenyewe tu. Hili lipo hata kwenye magroup ya watumishi, tunaulizana mishahara balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…