Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Message tayariAcha basi..
we si ulishaaga kuwa tukutane mwez ujao πMessage tayari
πKwa Moyo Wa dhati napenda kuishukuru serikali YA mama Samia....mama Samia ishirini tena kwake
Yeah kungekua na siku moja tu.Kama serikali ingekuwa stable kwenye makusanyo, wangeweka tangazo kuwa tarehe rasmi ya mishahara ni tarehe 24 ya kila mwezi. Wakahakikishe inakuwa hivyo, nyuzi kama hizi zitapotea zenyewe tu. Hili lipo hata kwenye magroup ya watumishi, tunaulizana mishahara balaa.
Pamoja sana. Kama upo kazini toroka.Kwa Moyo Wa dhati napenda kuishukuru serikali YA mama Samia....mama Samia ishirini tena kwake
Nilisahau kutoa shukurani Na appreciation Kwa mamawe si ulishaaga kuwa tukutane mwez ujao π
Na uwa anapita pita kusoma alisema. Naamini zimemfikia.Nilisahau kutoa shukurani Na appreciation Kwa mama
Leo mtapata wote Mimi pia Ni crdb message imeingia SAA 3 asubuhi leoMuda: 10:23
Bank: CRDB
Ofisi: Gvt Agency
Status: BADO
Ikifika jioni bila bila nakutumia PM namba ya simu fanya maajabu. Maisha tunapita.Leo mtapata wote Mimi pia Ni crdb message imeingia SAA 3 asubuhi leo
π€£Nilisahau kutoa shukurani Na appreciation Kwa mama
Kabisa kabisa hujakoseaIkifika jioni bila bila nakutumia PM namba ya simu fanya maajabu. Maisha tunapita.
nani kama mama?Mama tu nakushukuruu kwa huruma yakoo na kazi yako nzuriii..!! π π
Mkuu kiapo kwa ajira za majeshi ziko pale pale....ukiachana na wanasiasa wanaoapishwa na Rais ajira za majeshi pia Zina kiapo, mimi nna miaka 9 sasa na tuliapa. Anyways Kuna transformation serikali imeruhusu recently hizi idara zake kuwa mamlaka au shirika. Ndio hicho nilikuwa nauliza, mkitoka serikalini kama idara fulani kuwa mamlaka, au shirika basi huko mshahara wake ni mnono kwakweli.Kuna vertical, lateral and horizontal... Yaani unahama Kwa kimuundo, kitaasisi ama kicheo(simamizi) ..unaongelea nini.... Nipo kazini mwaka wa 16 huu.... Na ninasimamia wengi tu... Sisi ndio tulikuwa ajira ya mwisho kula KIAPO ... SIKU HIZI WANAPANGIWA TU KAZI ... WANAAPA WAPI!!? .. SISI TULIKULA KIAPO...
mzee wa kula kimasiharaMama tu nakushukuruu kwa huruma yakoo na kazi yako nzuriii..!! π π
kazi tufanyee badoo tulambe miguuu π πmzee wa kula kimasihara
π€£π€£π€£π€£π€£Bado,Kama kuna mtu amepata tafadhali atoe ushuhuda. Mlisema tutakufa wote vipi sahivi hatuwaoni?