Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Vijana 3,000,000 wa tanzania ni masikini twende kwa pamoja kuwasifiaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™... Watu wanakazi ya kusubiria hela kiasi hicho zisipotoka je!?

La sivyo mtawaona na Utachunguzwa kama unasema ukweli kwa lazimaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ - Msomi ulieajiriwa lazima Useme Ukweli

Sikupitishwa na NEC kugombea urais hapoo

1724673149949.png
 

Attachments

  • IMG20240406142826.jpg
    IMG20240406142826.jpg
    3.1 MB · Views: 6
Vijana 3,000,000 wa tanzania hawana Ajira twende kwa pamoja kuwasifia... Watu wanakazi ya kusubiria hela kiasi hicho zisipotoka je!?

La sivyo mtawaona kuwa masikini kwa lazimaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
Kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji ni muhimu
 
Inawezekana kuna changamoto kwenye mfumo
Vijana 33,000,000 wa Tanzania ni Hawajui Mfumo twende kwa pamoja kuwasifiaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™... Watu wanakazi ya kusubiria hela kiasi hicho zisipotoka je!? - Wakondeane Sana

La sivyo mtawaona kuwa hawajui mfumo na kunasema ukweli kwa lazimaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ - Msomi ulieajiriwa lazima Useme Ukweli

Wote hatuwezi kuwa Rais..

1724673675609.png
 

Attachments

  • IMG20240406125953.jpg
    IMG20240406125953.jpg
    2.7 MB · Views: 6
Tulikuwa tunaomba kazi ya kuangalia magari/Mabasi..

Maana Daaaaaaa Hela ngumu sana .....

Wamelipa Kodi lakini Tatizo ni Jamaa kupata akitakacho.. Labda hamta tuumiza machooooo tulidhani kuna kazi

1724674495245.png
 

Attachments

  • IMG20240406125712.jpg
    IMG20240406125712.jpg
    3.1 MB · Views: 7
Amechukua maamuzi magumu sana ya "Kujinyonga baada ya Kucheleweshewa mishahara" - Gazeti, TV na Radio sijui kama wataipata hii habari leo

1724681873780.png
 
Amechukua maamuzi magumu sana ya "Kujinyonga baada ya Kucheleweshewa mishahara na mipango yake kutokukamilika" - Gazeti, TV na Radio sijui kama wataipata hii habari leo

1724681971154.png
 
Mkuu usijali kuhusu ushindani, tafuta Kinyozi mzuri atakuletea hiyo 60 ama 50k Kwa wiki.

Mimi Kuna sehemu nimemfungulia waifu kwaajili ya kupata hela zake za kuchezea Vikoba.

Kwahiyo anaisimamia yeye mwenyewe ili kuhakikisha anapata hela za kuchezea mchezo wake
Babu una mawazo mazuri Sana Na ushauri mzuri sana
 
Back
Top Bottom