Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Vijana 3,000,000 wa tanzania ni masikini twende kwa pamoja kuwasifiaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™... Watu wanakazi ya kusubiria hela kiasi hicho zisipotoka je!?

La sivyo mtawaona na Utachunguzwa kama unasema ukweli kwa lazimaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ - Msomi ulieajiriwa lazima Useme Ukweli

Sikupitishwa na NEC kugombea urais hapoo

 

Attachments

  • IMG20240406142826.jpg
    3.1 MB · Views: 6
Kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji ni muhimu
 
Inawezekana kuna changamoto kwenye mfumo
Vijana 33,000,000 wa Tanzania ni Hawajui Mfumo twende kwa pamoja kuwasifiaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™... Watu wanakazi ya kusubiria hela kiasi hicho zisipotoka je!? - Wakondeane Sana

La sivyo mtawaona kuwa hawajui mfumo na kunasema ukweli kwa lazimaπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ - Msomi ulieajiriwa lazima Useme Ukweli

Wote hatuwezi kuwa Rais..

 

Attachments

  • IMG20240406125953.jpg
    2.7 MB · Views: 6
Tulikuwa tunaomba kazi ya kuangalia magari/Mabasi..

Maana Daaaaaaa Hela ngumu sana .....

Wamelipa Kodi lakini Tatizo ni Jamaa kupata akitakacho.. Labda hamta tuumiza machooooo tulidhani kuna kazi

 

Attachments

  • IMG20240406125712.jpg
    3.1 MB · Views: 7
Amechukua maamuzi magumu sana ya "Kujinyonga baada ya Kucheleweshewa mishahara" - Gazeti, TV na Radio sijui kama wataipata hii habari leo

 
Amechukua maamuzi magumu sana ya "Kujinyonga baada ya Kucheleweshewa mishahara na mipango yake kutokukamilika" - Gazeti, TV na Radio sijui kama wataipata hii habari leo

 
Babu una mawazo mazuri Sana Na ushauri mzuri sana
 
Maana leo tarehe 19 kesho 20, au ndio hadi Monday?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…