Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Duh alikopa kufanya nn
 
Ila tarehe ni mpaka kesho au keshokutwa. Kwa leo ngumu sana, labda waamue kutudanganyishia uchaguzi wa serikali za mitaa.
Wanajeshi bado, wangekuwa wamepata jana, basi lengo ingekua kwa watumishi wengine.
 
bravo kaka uwaga nachukizwa sana na watu wanaowasema vibaya watumishi wa umma wanapouliziaga haki zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…