Duh11:20 ngapi huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh11:20 ngapi huko
Hii ngoma ni mpaka kesho.Saa saba kamili mambo bado
Watu wajifunze kuwa na adabu ya matumizi ya pesa,haiwezekani mtu mzima unashindwa kupangilia BAJETI kwa muda wa mwezi mmoja tu,halafu baadhi ya watu wanawacheka wanafunzi wa vyuo,wanaotapanya boom.
Mkuu mshahara wa laki tano -nane utabajetia lakini hutoboi. Labda useme tutafute vyanzo vingine vya mapato!Watu wajifunze kuwa na adabu ya matumizi ya pesa,haiwezekani mtu mzima unashindwa kupangilia BAJETI kwa muda wa mwezi mmoja tu,halafu baadhi ya watu wanawacheka wanafunzi wa vyuo,wanaotapanya boom.
sio kweli, wanajeshi mpaka Jumapili jana walikua hawajapata pesa. Acha uongo.nimeamini aise wenye nchi ni wanajeshi pekee yao jamaa tangu J'mosi wamepokea mshahara.
Haina shida fungua tuNaombeni nifungue thread ya kuulizia mishahara kila mwisho wa mwezi ili iwe ya muda mrefu.
Sawa, tutajitahidi.Watu wajifunze kuwa na adabu ya matumizi ya pesa,haiwezekani mtu mzima unashindwa kupangilia BAJETI kwa muda wa mwezi mmoja tu,halafu baadhi ya watu wanawacheka wanafunzi wa vyuo,wanaotapanya boom.
Huu ukatili..Ukweli ni kwamba hamtalipwa mpaka tarh 28.
Zile ni pesa za walipa kodi wa korea. tafuteni za kwenu.Haina hela wapi wakati juzi tu muamala wa Korea Kusini umesoma, na miamala ya gawio la mashirika ikajazia juu
Hela haina alama, kwamba hii imetoka kwa gaidi, wahisani, wezi, wauza unga nk. Ikishaingia kama sadaka, inabarikiwaZile ni pesa za walipa kodi wa korea. tafuteni za kwenu.
Jipe moyo.Hela haina alama, kwamba hii imetoka kwa gaidi, wahisani, wezi, wauza unga nk. Ikishaingia kama sadaka, inabarikiwa
Hazina kweupe mihashara kuna dalili ya kufika tarehe 30 mwezi huu
Ahahahah 😂 😂 😂 😂