-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Gvt agencyMimi niko kwenye agency.
Wewe wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gvt agencyMimi niko kwenye agency.
Wewe wapi?
Ila values zile zile?ESS tayari wamerekebisha salary slips sasa hivi zinasoma na madeni yake.
Rais wa Mawe naye atenguliwe tu...Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Kuna vertical, lateral and horizontal... Yaani unahama Kwa kimuundo, kitaasisi ama kicheo(simamizi) ..unaongelea nini.... Nipo kazini mwaka wa 16 huu.... Na ninasimamia wengi tu... Sisi ndio tulikuwa ajira ya mwisho kula KIAPO ... SIKU HIZI WANAPANGIWA TU KAZI ... WANAAPA WAPI!!? .. SISI TULIKULA KIAPO...Mfano kama walivyobadirika wa kilimo toka idara to mamlaka ya mbegu na viuatilifu.
Mkuu acha propaganda!! Mkeka bado haujasoma.Crdb Oyee mkeka umesoma wakuu.
Hakuna kitu ka hicho mkuu kaa kwa kutuliaGvt agency
[/QUOTE]Yani namie nimeshangaa sana slip ya July Nimeangalia baada ya kusoma koment ya jamaa hapo juu kuangalia ikakubali wakati siku zote nikiangalia tarehe za mshahara hata Siku mbiltatu huwa inagoma hadi siku nne tano mbele
Cc Smart911
Umeongezewa?Kumbe kweli hizi taasisi za serikali zinatofautiana
Mbona Sisi kwetu Hua tunakula kiapo mkuuu waajiriwa wapya lazima wake kiapoKuna vertical, lateral and horizontal... Yaani unahama Kwa kimuundo, kitaasisi ama kicheo(simamizi) ..unaongelea nini.... Nipo kazini mwaka wa 16 huu.... Na ninasimamia wengi tu... Sisi ndio tulikuwa ajira ya mwisho kula KIAPO ... SIKU HIZI WANAPANGIWA TU KAZI ... WANAAPA WAPI!!? .. SISI TULIKULA KIAPO...
Salio sh.92 mpk mda huu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hatari kuna mtu alikuwa ananitania ushasoma ,mi nikachukulia serious .Nikatoa amri wamwage maharagwe yote ,ntakuja na mboga.Ni kamzozo[emoji1][emoji1]
Mmepanda wenzetu eehhhMie basic imeongezeka take home pia imeongezeka hilo la Bank wamekata but hawajaonesha kwa slip.
Kuna slip ya mtu walivochanganya makato unaeza cheka kama mazuri walai kweli mwezi huu serekaaa imekua na jam ya Mambo mengi hadi vitu vinakua vuluvulu
Cc Smart911
Ngoja tuone leoKwa hiyo tunaendelea tulipoishia?
Muda wa huu Uzi kua dormant bado haujafika
Bado kabisaKwa hiyo tunaendelea tulipoishia?
Muda wa huu Uzi kua dormant bado haujafika
Ndio mkuuUmeongezewa?