Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Ninachokuambia ni kweli kabisa, imeongezeka 120K kamili kwenye ESS
We jamaa ni muongo. Kwenye ESS huwezi kuona kiasi ila unaweza kuona badiliko la daraja. Badiliko la kiasi cha fedha kinaonekana account ya bank kulingana na mabadiliko ya daraja Sasa hiyo 150K kwenye ESS kaiona vipi ?
 
We jamaa ni muongo. Kwenye ESS huwezi kuona kiasi ila unaweza kuona badiliko la daraja. Badiliko la kiasi cha fedha kinaonekana account ya bank kulingana na mabadiliko ya daraja Sasa hiyo 150K kwenye ESS kaiona vipi ?
Hukuwa na haja ya kuniita muongo. Ukichukua salary slip ya June na July kwenye ESS utashindwaje kuona ongezeko la mshahara? wapi nimesema ni badiliko la daraja? Kwa nini niseme uongo humu JF? Nimeandika 120K na si 150K
 
ess salary slip ya july
negative, hakuna ukweli juu ya usemalo salary slip hutolewa baada ya dispatched salary notice ya hazina ambayo mpaka mda huu haijatoka, yeye hiyo slip kaipata vipi ESS ? Ambayo ni extension data bridge tu wala haina mandate ya financial database ya hazina, mpaka itumwe toka hazina.
 
negative, hakuna ukweli juu ya usemalo salary slip hutolewa baada ya dispatched salary notice ya hazina ambayo mpaka mda huu haijatoka, yeye hiyo slip kaipata vipit ?
Basi mkuu umeshinda wewe, yaani kwenye ESS mpaka makato yako yote ya July sasa hivi yanaonekana na benki akaunti haijasoma. Nini cha ajabu hapo?
 
Mkuu kiapo kwa ajira za majeshi ziko pale pale....ukiachana na wanasiasa wanaoapishwa na Rais ajira za majeshi pia Zina kiapo, mimi nna miaka 9 sasa na tuliapa. Anyways Kuna transformation serikali imeruhusu recently hizi idara zake kuwa mamlaka au shirika. Ndio hicho nilikuwa nauliza, mkitoka serikalini kama idara fulani kuwa mamlaka, au shirika basi huko mshahara wake ni mnono kwakweli.
Kiapo Sio Kwa ajira za majeshi tu zipo taasis ambao Sio za kijeshi Na wanakula kiapo
 
negative, hakuna ukweli juu ya usemalo salary slip hutolewa baada ya dispatched salary notice ya hazina ambayo mpaka mda huu haijatoka, yeye hiyo slip kaipata vipi ESS ? Ambayo ni extension data bridge tu wala haina mandate ya financial database ya hazina, mpaka itumwe toka hazina.
slip uwa zinatangulia kama hujuii 😀 😀 😀
 
negative, hakuna ukweli juu ya usemalo salary slip hutolewa baada ya dispatched salary notice ya hazina ambayo mpaka mda huu haijatoka, yeye hiyo slip kaipata vipi ESS ? Ambayo ni extension data bridge tu wala haina mandate ya financial database ya hazina, mpaka itumwe toka hazina.
Mkuu mbona unakaza hivyo, hata mimi naiona slip ya July ESS na mshahara bank bado haujasoma...
 
Back
Top Bottom