Dah, yaani tarehe 19 tayari chali?Chuma inatembelea rim, kesho naweza nisiende kazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, yaani tarehe 19 tayari chali?Chuma inatembelea rim, kesho naweza nisiende kazini.
Kama upo na simu ya wakuu fanya mchakato basi.hamuwez acha ninyii
Hali mbaya mkuuDah, yaani tarehe 19 tayari chali?
ngojea j3Kama upo na simu ya wakuu fanya mchakato basi.
Sasa mkuu mbona ni mpaka Jumanne, wikendi hii hutoki kabisa ndani.Hali mbaya mkuu
Aisee.. siwezi kufika nakuja PM.ngojea j3
aha laki kwa laki na nusuAisee.. siwezi kufika nakuja PM.
Dah unyonyajinalopes
aha laki kwa laki na nusu
Hakuna jinsihahahaha mmeanza
kausha damu hiiDah unyonyaji
hamna kitu. salary advance kwam huna?Leo Friday naamini tutapewa
Leo??? 😁😁hamna kitu. salary advance kwam huna?
Leo nadhani ishaisha.. weekend mara chache sana..Muda wa kuliamsha dude....hali sio hali wakuu.
Nimecheki this morning pakavu. weekend itakua ngumu sana hii.Dah nikajua leo jw mshahara unaingia kumbe wapi kmmweekk
Six figures ngumu sana kukutana.Kwani mishahara imeacha kukutana siku hizi wana JF?