Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wanajeshi wakipata leo, kesho baadhi ya watumishi wengine wataanza kupata.OK, ila alhamisi ni uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajeshi wakipata leo, kesho baadhi ya watumishi wengine wataanza kupata.OK, ila alhamisi ni uhakika
Alhamisi ya wapi? Mshahara ni Leo au kesho...OK, ila alhamisi ni uhakika
Wapuuzi hawa wanatuona tuna njaa sana kumbe maisha yako sawa tu, hatujuani humu watu wapunguze ushauri tayari tuna mipango yetu. Tunasubiria mshahara sasabravo kaka uwaga nachukizwa sana na watu wanaowasema vibaya watumishi wa umma wanapouliziaga haki zao
Unajua Babu yako macho hayaoni vizuri, wakati wa kubonyeza bonyeza button nikakuta namba imejifutaBabu kwahiyo namba yangu ulifuta!! Nimelia sanaaa😭😭😭
kaka usikute wao wana maisha mabaya kinoma ila wamebakia kashfa tuu ndio wanaoongoza kutuomba beer barWapuuzi hawa wanatuona tuna njaa sana kumbe maisha yako sawa tu, hatujuani humu watu wapunguze ushauri tayari tuna mipango yetu. Tunasubiria mshahara sasa
Itakuwa vyema sana, nimesema hivyo kwani ndio tarehe 24. Ila naona kwenye system inasoma. Yaani sasa hivi kwenye system uncleared balance salio linasoma, bado kubofya kitufe tu.Alhamisi ya wapi? Mshahara ni Leo au kesho...
kwenye salary slip amaItakuwa vyema sana, nimesema hivyo kwani ndio tarehe 24. Ila naona kwenye system inasoma. Yaani sasa hivi kwenye system uncleared balance salio linasoma, bado kubofya kitufe tu.
Hela yako wewe si yote inaishia kulipa madeniWanajeshi bado, wangekuwa wamepata jana, basi lengo ingekua kwa watumishi wengine.
WatatuuaOK, ila alhamisi ni uhakika
Mambo yanazidi kuwa sio mambo kabisa😭😭😭Aisee mbona kimya
Nimelia sana, hii taarifa inabidi bibi aipate, ili aingilie kati😭😭😭😭Unajua Babu yako macho hayaoni vizuri, wakati wa kubonyeza bonyeza button nikakuta namba imejifuta
Fanya unitumie tena Mjukuu 🤗
Sio kwenye salary slip mkuukwenye salary slip ama
😀 😀Bado wakuu, sasa hivi saa 8 mchana.
Mkuu, leo wala usiwe na mategemeo kabisa. Labda kesho au alhamisiBado wakuu, sasa hivi saa 8 mchana.
Si ndiyo hapo.😀 😀
Wawape hela zenu bhana, sasa wanakaa nazo za nini mpaka muda huu?
Alhamisi ya wapi? Mshahara ni Leo au kesho...
Hahaha..................mambo mengine tuyamalize wawili tu, kwani hutaki nikulipie kile kikoba chako cha elfu 25 cha wiki 😜Nimelia sana, hii taarifa inabidi bibi aipate, ili aingilie kati😭😭😭😭
Kwa namba gani Sasa?Mwenye Elfu 5 anipe kesho jioni mida hii uhakika nampa na ten la soda
Dereva bajaji jana nmemkopa nauli leo atazingua alafu naongozana na kidemu kipya halmashauri hapa nataka nikilipiepo kanauli kanierewe