Mshahara wa Kocha mpya Simba SC Pablo Franco unalipa Mshahara wa Nabi, Kazi, Zahera, Manara na Bumbuli huku Chenji ikibaki pia

Mshahara wa Kocha mpya Simba SC Pablo Franco unalipa Mshahara wa Nabi, Kazi, Zahera, Manara na Bumbuli huku Chenji ikibaki pia

Tulien na kocha wenu wa real madrid[emoji23][emoji23]
 
Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC sasa amekubali kupokea Mshahara wa Tsh Milioni 250 kwa Mwezi na mpaka sasa ameshalipwa tayari Mishahara yake ya Miezi 6.

Yafuatayo ni Malipo ya Mishahara ya Masikini Watano wa Twiga na Jangwani....

1. Nabi...Tsh Milioni 2 na Laki 5

2. Kaze...Tsh Laki 9 na Elfu 75

3. Zahera...Tsh Laki 5 na Elfu 50

4. Manara...Tsh Laki 1 na Elfu 65

5. Bumbuli..Tsh Elfu 75 na 250 tu

Karibu sana Simba SC Kocha Pablo.
Weka saraly slip za hao makocha tuone Kama akili zako zinafanya kazi sawasawa, inaonekana auko sawa kichwani wewe
 
Kocha wa mchongo akalipwe million 250,!! kweli mbumbumbu fc wazee wa fix. Yaani thamani ya Klabu bilion 20. Alafu kocha alipwe 250 milioni ,mapato ya mwaka ya Simba bilion 3 kweli Tanzania tuna safari ndefu katika soka.
 
Kizembe zembe tu mshahara wake ujulikane?

Eti m250 [emoji1787][emoji1787]

Haya tuambie signing fee yake ilikua shingapi?
 
KEROZENE
Screenshot_20211108-080338.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC sasa amekubali kupokea Mshahara wa Tsh Milioni 250 kwa Mwezi na mpaka sasa ameshalipwa tayari Mishahara yake ya Miezi 6.

Yafuatayo ni Malipo ya Mishahara ya Masikini Watano wa Twiga na Jangwani....

1. Nabi...Tsh Milioni 2 na Laki 5

2. Kaze...Tsh Laki 9 na Elfu 75

3. Zahera...Tsh Laki 5 na Elfu 50

4. Manara...Tsh Laki 1 na Elfu 65

5. Bumbuli..Tsh Elfu 75 na 250 tu

Karibu sana Simba SC Kocha Pablo.
Yaani hili nalo la kusifia?? Hivi mbona hamnyamazi mkaficha ujinga wenu kuliko kuongea mkadhirisha upumbavu? Mna tofauti gani na Msukuma anayeuziwa jezi feki ya Manchester Utd kisa tu ina jina la Ronaldo mgongoni?
 
Mods anzisheni jukwaa la matahira na vilaza ...

Watu Kama hawa viazi wanakuwa jukwaa lao ...
 
Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC sasa amekubali kupokea Mshahara wa Tsh Milioni 250 kwa Mwezi na mpaka sasa ameshalipwa tayari Mishahara yake ya Miezi 6.

Yafuatayo ni Malipo ya Mishahara ya Masikini Watano wa Twiga na Jangwani....

1. Nabi...Tsh Milioni 2 na Laki 5

2. Kaze...Tsh Laki 9 na Elfu 75

3. Zahera...Tsh Laki 5 na Elfu 50

4. Manara...Tsh Laki 1 na Elfu 65

5. Bumbuli..Tsh Elfu 75 na 250 tu

Karibu sana Simba SC Kocha Pablo.
Kolo bana unahangaika sanaaa na wanaume wa jangwani!!mlipeni hata bil moja , ubingwa unakuja jangwani na tukikutana na ww kolo fc kichapo pale pale!!pumbaf
 
Awali alitaka Mshahara wa Tsh Milioni 350 kwa Mwezi ila baada ya Majadiliano na Klabu aliyoipenda ya Simba baada ya Kusimuliwa na Timu ya Sevilla ya Hispania iliyokuja Tanzania kucheza na Simba SC sasa amekubali kupokea Mshahara wa Tsh Milioni 250 kwa Mwezi na mpaka sasa ameshalipwa tayari Mishahara yake ya Miezi 6.

Yafuatayo ni Malipo ya Mishahara ya Masikini Watano wa Twiga na Jangwani....

1. Nabi...Tsh Milioni 2 na Laki 5

2. Kaze...Tsh Laki 9 na Elfu 75

3. Zahera...Tsh Laki 5 na Elfu 50

4. Manara...Tsh Laki 1 na Elfu 65

5. Bumbuli..Tsh Elfu 75 na 250 tu

Karibu sana Simba SC Kocha Pablo.
Hiki ndio mmebakiza uwanjani pasha kua pagumu
 
Back
Top Bottom