Mshahara wa Messi Pound 1.2 Million kwa wiki moja

Mshahara wa Messi Pound 1.2 Million kwa wiki moja

STRUGGLE MAN

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2018
Posts
8,633
Reaction score
16,586
Ila duh hii dunia tunaishi tofauti sana, ukiachana na hio miradi yake anayopiga hela, pound 1.2 Million a week ndio mshahara wake kwa euro ndio zinazodi zaidi ya hizo, leo bossi wako kukulipa laki 2 kwa mwezi anakuzungusha
Screenshot_2021-07-14-15-49-58-670.jpg
 
Ila duh hii dunia tunaishi tofauti sana, ukiachana na hio miradi yake anayopiga hela, pound 1.2 Million a week ndio mshahara wake kwa euro ndio zinazodi zaidi ya hizo, leo bossi wako kukulipa laki 2 kwa mwezi anakuzungusha View attachment 1853499
Messi is talented man, ana deserve hicho kiasi. Nimeangalia michuano ya euro 2020, sikuona mchezaji yoyote hapo ulaya anaye karibia kipaji cha messi
 
Ila duh hii dunia tunaishi tofauti sana, ukiachana na hio miradi yake anayopiga hela, pound 1.2 Million a week ndio mshahara wake kwa euro ndio zinazodi zaidi ya hizo, leo bossi wako kukulipa laki 2 kwa mwezi anakuzungusha View attachment 1853499
Griezman nate hayupo mbali, hawa jamaa Wana Management mbovu sijawahi ona.
 
Hayo mamishahara ya hao jamaa niliamuaga zamani kuyasoma na kuyaacha kama yalivyo, sitaki tena kuyatafakari sana ni kujipasua kichwa bure, kama hata wazungu huko ulaya wanaishangaa itakuwaje kwangu mie wa bongo uswahilini!.
 
Griezman nate hayupo mbali, hawa jamaa Wana Management mbovu sijawahi ona.
Management mbovu au nzuri? hao jamaa kwa pesa wanazolipwa wanaweza wasicheze mpira tena wakawa vichaa kabisa, lakini kwa hizo management walizonazo bado wanacheza match za ushindani tena kwa kiwango cha juu kabisa miaka yote.
 
Management mbovu au nzuri? hao jamaa kwa pesa wanazolipwa wanaweza wasicheze mpira tena wakawa vichaa kabisa, lakini kwa hizo management walizonazo bado wanacheza match za ushindani tena kwa kiwango cha juu kabisa miaka yote.
Barcelona na Madrid zinaongozwa kama Simba na yanga. Kunakuwa na Uchaguzi wanachagua mwenyekiti.

Hivyo kutaka misifa kwa mashabiki sometime wanaspend hela nje ya Uwezo wao, na wanatoa promise ambazo hazitekelezeki.

Barcelona wamefanya transfer mbovu na kulipa mishahara mikubwa sana. Kama unafuatilia mpira utaona Transfer za kina Coutinho, Dembele, Griezman etc zimekuja zaidi ya Euro 300M.

Griezman eti anapata mshahara 800K kwa week, wachezaji wakali No 10 Duniani kama Bruno, DE bruyne, Muller etc hawafikii Hata nusu ya Huo mshahara, Even Neymar anausikia Kwenye Redio tu.
 
Barcelona na Madrid zinaongozwa kama Simba na yanga. Kunakuwa na Uchaguzi wanachagua mwenyekiti.

Hivyo kutaka misifa kwa mashabiki sometime wanaspend hela nje ya Uwezo wao, na wanatoa promise ambazo hazitekelezeki.

Barcelona wamefanya transfer mbovu na kulipa mishahara mikubwa sana. Kama unafuatilia mpira utaona Transfer za kina Coutinho, Dembele, Griezman etc zimekuja zaidi ya Euro 300M.

Griezman eti anapata mshahara 800K kwa week, wachezaji wakali No 10 Duniani kama Bruno, DE bruyne, Muller etc hawafikii Hata nusu ya Huo mshahara, Even Neymar anausikia Kwenye Redio tu.
Mkuu griezman unamchukulia poa ?? ..

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Hayo mamishahara ya hao jamaa niliamuaga zamani kuyasoma na kuyaacha kama yalivyo, sitaki tena kuyatafakari sana ni kujipasua kichwa bure, kama hata wazungu huko ulaya wanaishangaa itakuwaje kwangu mie wa bongo uswahilini!.
Ndio kama mimi huwa siielewi, nikijaribu kutafakari hicho kiasi cha pesa, halafu nikipokee kwa wiki huwa naona kama uwezo wangu wa kuvuta picha jinsi inavyokuwa unafika kikomo🤣
 
Ndio kama mimi huwa siielewi, nikijaribu kutafakari hicho kiasi cha pesa, halafu nikipokee kwa wiki huwa naona kama uwezo wangu wa kuvuta picha jinsi inavyokuwa unafika kikomo🤣
Mkuu,mshahara wa Messi wa wiki moja tu kwa mfanyakazi wa kawaida atafanya kazi maisha yake yote pamoja na kiinua mgongo chake ila hatofikia kiasi cha pesa cha wiki moja tu anachopata Messi.

🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu,mshahara wa Messi wa wiki moja tu kwa mfanyakazi wa kawaida atafanya kazi maisha yake yote pamoja na kiinua mgongo chake ila hatofikia kiasi cha pesa cha wiki moja tu anachopata Messi.

🤣🤣🤣🤣
Na huyo mfanyakazi akitaka aongezee mtoto wake na mjukuu wafanye kazi kweli kweli mpaka wastaafu bado hawataingiza hicho kiwango
 
Back
Top Bottom