Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #141
Mbona unakuwa na nidham za woga??Ila kiukweli Zama hizi, Zime kaa kitapeli tapeli.
πSo WanaUme au Wanawake Hawa was Zama za 95-2000+π€
Aisee, akasemaje mwamba?!Kuna jamaa nimetoka kumshauri asije akajikoroga kuoa pisi masikini aka zenye vipengele kwa sababu kama hizi tu... Yaani salary ya mwamba pisi inajewekea na hesabu zake humohumo inajipimia ikiona haikai inatafuta chocho sasa ndo mahusiano gani hayo???
ShejejwjsiMbona unakuwa na nidham za woga??
Kama kuwa tapeli NI rahisi Anza basi kufanya
Ndiyo Nina afya ya akili.Utakuwa Una Afya ya akili
Kapumzike upone
Akasema hata hivyo shida zake zinamtosha hataki matatizo mengine kwenye maisha yakeAisee, akasemaje mwamba?!
Uwee, ya bando umepata wapNahitaji kazi Wana jukwaa hata ya 200,000 nipe connection
Kiruπππππππππππ poleAkasema hata hivyo shida zake zinamtosha hataki matatizo mengine kwenye maisha yake
NiwezesheUwee, ya bando umepata wap
Unatumia Freebasics πWrite your reply...kama vp mjazie tyu mbona siyo mbaya
hapana nimetumia opera Google Inazingua cjh kwa niniUnatumia Freebasics π
Mwulize yeye kwani anaingiza sh ngapi kwa mwezi?Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! ππππππ
Ngoja nikuulize, kwani we umezaa nae uyo wa 200,000 mshaharaNafanya nini?
Unataka kuniambia kipindi mwanaume amemtongoza huyo mwanamke alikuwa hajampenda nikimaanisha alimtaka kupozea tu ili akipate pesa amwache,inaweza ikawepo lakini sitaki kuamini kwamba wanaume wote tupo hivyo.Yani wahangaike wote halafu baadaye wakifanikiwa mwanaume aanze kutembea na wanawake wa type yake, mkuu wanawake siyo kwamba hawapendi kuwasupport wapenzi wao ila wanazijua tabia za wanaume, wa kulaumiwa si wao bali ni wanaume wanaposhindwa kuzuia tamaa zao wakifanikiwa
Kama wewe hauko hivyo ni wewe, wanaume wengi husema wao wenyewe kuwa wanapokuwa broke hutafuta wanawake wa level zao ili mradi tu maisha yaende na wakiwa rich ndio wanatafuta sasa wanawake wa type zao, huwa nawashangaa sana wanaume mnapojiona innocent kana kwamba ninyi hamuwezi kuwafanyia ushenzi wanawakeUnataka kuniambia kipindi mwanaume amemtongoza huyo mwanamke alikuwa hajampenda nikimaanisha alimtaka kupozea tu ili akipate pesa amwache,inaweza ikawepo lakini sitaki kuamini kwamba wanaume wote tupo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kuniambia kipindi mwanaume amemtongoza huyo mwanamke alikuwa hajampenda nikimaanisha alimtaka kupozea tu ili akipate pesa amwache,inaweza ikawepo lakini sitaki kuamini kwamba wanaume wote tupo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
MILION 10 KWA MWEZIMwulize yeye kwani anaingiza sh ngapi kwa mwezi?
mbona maswali kibao!Ngoja nikuulize, kwani we umezaa nae uyo wa 200,000 mshahara