Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niliangalia kwa haraka nikaona 8MBado Brother. Nadhani Tarehe 22 hivi ila haifiki Alhamis.
Maisha magumu kingese man.
View attachment 1655075
Ila walimu bana😂wa
Walimu wamefanikisha mpaka wewe unaandika comment JfIla walimu bana😂
Mpaka j3 au j4Sidhani kama hao walipaji wa mishahara wanafanya kazi leo jumapili.
Na nikukumbushe tu... mwezi wa kwanza kuna ada.Wadau vipi ka salary ka mwezi huu wa pesa hazitoshi.
Wenzangu mmekaona? Tuambizane maana hapa nina buku tu la bodaboda kunipeleka kwa ATM .
Nikizikoswa ndo yatakuwa majanga zaidi.
Kwa walio na simbank tujuzani.
Nipo NBC.
Dah Mil 8 mbona ata JF nisingeingia. Iyo ya vocha boss.niliangalia kwa haraka nikaona 8M
nikataka nikupongeze kwa kusave
kumbe ni 8,000 duh
khaaa usingeingia Jf Kwa nini?Dah Mil 8 mbona ata JF nisingeingia. Iyo ya vocha boss.
Maneno ya mkosajiHa ha ha! Uwiiii twafa, bora nijiajiri.
Hata usiingie vile vihela nuksi ndo maana sivishobokei
True mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
True mkuu
Kabisa ndo maana siutakiNa unatamani iwekwe january maana ukiwa na kibunda now mpaka tarehe 31 huna mia!!! Na mwezi january unanyooka... Nimecheka sana walahi
Sasa kibunda kipo cha sikuu au bora sikuu zipite kibabe ili january uwishi kifalmeKabisa ndo maana siutaki
Acha zinipite hivi, tutakutana mwezi dume ( januarySasa kibunda kipo cha sikuu au bora sikuu zipite kibabe ili january uwishi kifalme
Kwani mwezi si bado kuisha mzee.au unaulizia salary advance?Wadau vipi ka salary ka mwezi huu wa pesa hazitoshi.
Wenzangu mmekaona? Tuambizane maana hapa nina buku tu la bodaboda kunipeleka kwa ATM.
Nikizikoswa ndo yatakuwa majanga zaidi.
Kwa walio na simbank tujuzani.
Nipo NBC.