Tuliwaonya mapema kujiandaa kiakili na pia kisaikolojia! Lakini hamkutusikia.Mungu wangu nilikuwa nabisha nimeangalia sms hakuna hata cent moja iliyoongezwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mkuu huyo unae mdiss ni public servant tena taasis nzuri tuu
ššš, Mzeeh pesa za mishahara zinajulikana sana,salary nyingi baada ya makato ya Serikali zinakuwa na chenji(nadhani umeelewa nachomaanisha hapa) Apart from that Salary(Take home)ya Dingi wangu naijua mkuuKumbe umeona sms kwa mdingi wako?
Kwani sms ya mshahara inakuwa na title kuwa huu ni mshahara?
Vipi kama ni pesa kaipokea kutoka sehemu nyingine ambayo si mshahara...?
Hebu tumia akili kidogo, halafu inaonekana upo upo tu hauna nyuma wala mbele bado unaishi kwa wazazi na kuwategemea wakupe vocha!!!
Mungu wangu nilikuwa nabisha nimeangalia sms hakuna hata cent moja iliyoongezwa
Upo benki gani, boss maana NMB Bado hukuMungu wangu nilikuwa nabisha nimeangalia sms hakuna hata cent moja iliyoongezwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imani gani nakati ni kweli hamna kituM
Mkuu tuwe na imani na ahadi ya Mheshimiwa, anatujali sana ujue!
Mtumishi amegeuka mwarabu ili Utawala huu umjali. Wao mbele kwa mbele na mwarabu watumishi mtajijua wenyewe.. kina wenyewe na wenyewe ni waarabu !!M
Mkuu tuwe na imani na ahadi ya Mheshimiwa, anatujali sana ujue!
Kwa hiyo hako kaincrement hakapoš³Mshahara bado haujatoka ila hakuna kitu kilichoongezeka.
Yaani hata huko kwenye bandari,naanza kuyaamini maneno ya wakosoaji,itakuwa imeuzwa kweliHana tofauti na PM Ohoooo mnataka aje Magomeni au K'koo ili iweje? Rip Magu
.Jf Raha sana
Endelea kuota mkuu,hana jipya.Duh, tusiandikie mate wakati wino upo
Mbona umemjibu Kwa makasiriko Sana punguza Makasiriko, Nchi ya ajabu Sana wafanyakazi wa Hali ya chini ndio wanakandamizwa.Makubwa wakati mshahara tayari na hakuna kitu