Mshana Jr acha uongo wachawi hawaivi na aina ya maji na sio kila maji

His malevolent,sir mshana jr,the evil one,the great wizard amewaomba watumishi wake wampatie link naam na iwe kama alivyoomba
[emoji16][emoji16][emoji16]jina kubwa kama flyover...
 
Kwanini chumvi na uchawi mbalimbali
 
[emoji16][emoji16][emoji16]jina kubwa kama flyover...
Mtu mkuu kama wewe hatutajagi Jina moja kwa moja tunaanza na vyeo na utukuzaji ningemtaja jiwe ningenza his malevolent,the king of presidents,his excellency,the arrogant one,ruthless Dr.......
 
[emoji16][emoji16][emoji16]jina kubwa kama flyover...
Mtu mkuu kama wewe hatutajagi Jina moja kwa moja tunaanza na vyeo na utukuzaji ningemtaja jiwe ningenza his malevolent, king of presidents,his excellency,the arrogant one,ruthless Dr.......
 
Mshana Eti chumvi ikichomwa kwenye moto kwa kunuiza kama mchawi yupo umtambue ni kweli?
 
Uchawi ni Imani yako mwenyewe. Ukiamini kurogwa inakuwa hivyo ila ukiamini kuwa uchawi haupo na ni Myths tu inakuwa hivyo hivyo na huwezi kurogwa
 
Mtu mkuu kama wewe hatutajagi Jina moja kwa moja tunaanza na vyeo na utukuzaji ningemtaja jiwe ningenza his malevolent,the king of presidents,his excellency,the arrogant one,ruthless Dr.......
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…