Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kila mtu ana imani yake.... Na kwenye hili huwezi fahamu mawazo ya mtuKwahyo wanaamini wao wako upande sahihi tena wenye nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ana imani yake.... Na kwenye hili huwezi fahamu mawazo ya mtuKwahyo wanaamini wao wako upande sahihi tena wenye nguvu
Nimesema ivo kwasababu generally wa kwenye upande wa mwanga ndo wanaamini ivoKila mtu ana imani yake.... Na kwenye hili huwezi fahamu mawazo ya mtu
Yeah na huwezi kuwazuia wasimini hivyoNimesema ivo kwasababu generally wa kwenye upande wa mwanga ndo wanaamini ivo
Umenena vyema mkuu nami nakubaliana nawe, even before the Big Bang God is behind everything, so hizo intellectual tunazozisoma ni reference tu lakin God is beyond space, matter and Time.Sikia ww ucfikir sis darasan hatukwenda najua kila kitu kuhusu hii dunia achilia mbali process za formation of percipitation GOD is behind all
Hivi wachawi wanarogana pia? Yani tuseme wachawi wa kundi moja kumroga wa kundi jingineHapana hakuna vita hapa bali ni mjadala wa kujengana kiroho
Haaaaa Haaaaa 😂. Chezea jf weweUnaweza kukuta huyo ni mtu mmoja tu, kaja huku kujianzishia thd! JF ina mambo mengi sana.
Kuna vita kubwa tu lakini ni mpaka mdogo alete uchokozi kwa mkubwaHivi wachawi wanarogana pia? Yani tuseme wachawi wa kundi moja kumroga wa kundi jingine
Mkuu ufafanuzi wako tafadhali, kukingana na hii clip je, cctv camera zina uwezo wa kunasa vigagura kweli ama ni bongo muvi wako location?Kuna vita kubwa tu lakini ni mpaka mdogo alete uchokozi kwa mkubwa
CCTV zina uwezo wa kunasa mpaka UFO na viumbe roho wengine.. Hiyo clip ilipigwa kwa kutumia simu toka kwenye screen ya CCTV.Mkuu ufafanuzi wako tafadhali, kukingana na hii clip je, cctv camera zina uwezo wa kunasa vigagura kweli ama ni bongo muvi wako location?
Dah! Hatari sana mkuu.CCTV zina uwezo wa kunasa mpaka UFO na viumbe roho wengine.. Hiyo clip ilipigwa kwa kutumia simu toka kwenye screen ya CCTV