Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Asipotokea wa kuniroga siwezi kuuaminiUchawi nguvu roho isiyohitaji kujidhihiri kama unavyotaka wewe ...uchawi upo ni juu yako kuamini ama la
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipotokea wa kuniroga siwezi kuuaminiUchawi nguvu roho isiyohitaji kujidhihiri kama unavyotaka wewe ...uchawi upo ni juu yako kuamini ama la
Mshana Jr,sasa mbona nikiwacheki Wasukuma na Wamasai wanavaa sana hayo mabangili,je nao ni washirikina?Vyeo vya wachawi vinapatikana kwa kumwaga damu nyingi na ile inayouma (ya familia au ndugu)
Utambuzi wake kwa wasiojua ni mabangili na pete za shaba
Kila Pete moja inawakilisha nafasi moja na bangili vilevile
Kwa baadhi ya makabila utambuzi ni mavazi au shanga na wengine ni idadi ya chale mwilini ama makovu ya moto na visu mwilini
Utambuzi kwa njia ya mwanga ni too professional na ni kwa high ranks
Yamefanana tu na hayajatiwa nguvu husikaMshana Jr,sasa mbona nikiwacheki Wasukuma na Wamasai wanavaa sana hayo mabangili,je nao ni washirikina?
Ni msimamo wako ambao siwezi kupingana naoAsipotokea wa kuniroga siwezi kuuamini
OK!!!Sasa nitatofautishaje mabangili yenye nguvu ya ushirikina na yale ambayo hayanaYamefanana tu na hayajatiwa nguvu husika
Sawa mkuuNi msimamo wako ambao siwezi kupingana nao
Wewe huwezi kwakuwa hujui na huamini na sio mchawiOK!!!Sasa nitatofautishaje mabangili yenye nguvu ya ushirikina na yale ambayo hayana
Toa darasa mkuuWewe huwezi kwakuwa hujui na huamini na sio mchawi
Uchawi sio visible ni jambo la kiroho zaidi lisilo na ithibati za kisayansiToa darasa mkuu
Dah!!!!,Kwa hiyo ni vigumu hata kuelezea MKUU ??,Uchawi sio visible ni jambo la kiroho zaidi lisilo na ithibati za kisayansi
Uchawi sio substance kwamba utauona kwa macho
Uchawi ni nguvu ambayo huthibitika kwa matokeo na si mchakato
Sana... kuna kisa kimoja humu kili heat sana..baadae ndio watu kugundua kuwa kumbe ni mult I'd..Unaweza kukuta huyo ni mtu mmoja tu, kaja huku kujianzishia thd! JF ina mambo mengi sana.
HaiwezekaniDah!!!!,Kwa hiyo ni vigumu hata kuelezea MKUU ??,
So to be blunt..waumini wote wa uchawi na freemason wanajua wanayemtumikia?Au kuna blind sheep.Kila kitu duniani kina upande wa pili ama kina kinyume chake ....
Uchawi ni kinyume cha Nuru...ndio maana unaitwa nguvu za giza
Shetani ni kinyume cha Mungu...na shetani ndio mkuu wa giza
Freemason ni sehemu ya mkakati wa shetani wa kuchota waumini kama ilivyo kwa uchawi tuu
Wakati uchawi ukijipambanua kama nguvu hasi ya moja kwa moja freemason inajipambanua kama kaliba ya juu na ya kuheshimika
Kuingia huko ni lazima ule kiapo cha kumtumikia shetani ni kama tu kusilimu ama kubatizwaSo to be blunt..waumini wote wa uchawi na freemason wanajua wanayemtumikia?Au kuna blind sheep.
Ni kweli wachawi rank za juu huenda kuzimu/huwasiliana na lucifer?
help me understand this logic.Kuingia huko ni lazima ule kiapo cha kumtumikia shetani ni kama tu kusilimu ama kubatizwa
Ranks zote zina connection na kuzimu
Giza lina ushawishi mkubwa kuliko mwangahelp me understand this logic.
Kama wanajua pande zipo mbili
Mwanga na Giza
Wanajiunga upande wa giza wakijua kabisa huu ni upande wa giza
Wanaupinga vikali upande wa mwanga
Je,Wanaamini upande upi wenye nguvu?wanaamini upande upi upo sahihi?
Kwahyo wanaamini wao wako upande sahihi tena wenye nguvuGiza lina ushawishi mkubwa kuliko mwanga
Unafunguka yote hayo mala paa nimama ako mzazi, sorry nimewaza2 kwa saut me napita2🚶🚶🚶Ni lazima nibubujike kwa hisia maana ile nafasi moyoni mwangu bado ii wazi na weye ndo wakuiziba! Ni vile tu naogopa kusema ndo maana najiumauma!
Moyo unakutaka tena kwa bashasha!.. mtoto hurulaini uliejaa matumaini.. sema nami mrembo nikulembwekeze mamii...😉
Haiwezi kuwa.unafunguka yote hayo mala paa nimama ako mzazi, sorry nimewaza2 kwa saut me napita2🚶🚶🚶