Mshana JR amebadilisha maisha yangu, vijana wenzangu mtumieni mshana JR kabla hajaondoka duniani

Hongera zake
 
Mie siamini kama jamaa anaweza kuwa kitengo na hata kama ni kitengo basi wameajiri mtu mwenye maarifa mengi ya kusaidia watu na ana roho nzuri pia hivyo sio mbaya cha msingi yeye sio kama wale wasiojulikana!
Sifa ya kitengo ni kufanikiwa kutojulikana, na lazima awe na mambo mengi ya kukuvutia mpaka unajivua ID yako ya JF, na kawaida kama kuna issue, yeye atatoa pasi tu, Mukwala anamalizia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…