Mshana JR amebadilisha maisha yangu, vijana wenzangu mtumieni mshana JR kabla hajaondoka duniani

Mshana JR amebadilisha maisha yangu, vijana wenzangu mtumieni mshana JR kabla hajaondoka duniani

Niwaambie tu Mshana Jr hawezi kuwa na ID ya kujipa ujiko
๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ ili nipate nini sasa wakati najimidu
20241104_185842.jpg
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
hongera sana,
uache uvuvi na ulevi sasa.

kwani anaondoka lini huyo aliekusaidia kwakukucounsel ๐Ÿ’
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Sawa uache haya majani Sasa!
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Kakuuma Sikio kuwa anakaribia Kufa au?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wewe jamaa ni mkorofi sana kwaiyo unataka kunambia kuna uhusaiano wa konyagi na mambo ya kiroho?? AU kwakuwa Mshana Jr hawezi kukosa neno kwenye suala la kiroho!?
Hahahahah.. Nilianza kunywa wakati Plisner inauzwa Tsh 30 na Safari Tsh 40
Wakati huo plisner ilikuwa inatengenezwa Bongo na walikuwa wanasema inanuka Kunguni yaani ni chafu๐Ÿ˜€ na Safari ilikuwa inatengenezwa Kenya.. Kunywa safari miaka hiyo ni sawa na kunywa Heineken wa leo
 
Hahahahah.. Nilianza kunywa wakati Plisner inauzwa Tsh 30 na Safari Tsh 40
Wakati huo plisner ilikuwa inatengenezwa Bongo na walikuwa wanasema inanuka Kunguni yaani ni chafu๐Ÿ˜€ na Safari ilikuwa inatengenezwa Kenya.. Kunywa safari miaka hiyo ni sawa na kunywa Heineken wa leo
Duh๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom