Mshana JR amebadilisha maisha yangu, vijana wenzangu mtumieni mshana JR kabla hajaondoka duniani

Mshana JR amebadilisha maisha yangu, vijana wenzangu mtumieni mshana JR kabla hajaondoka duniani

Hakika Wakuu !
Legend Mshana Jr ni mtu poa sana, hajivungi wala haringi kupokea simu anytime ukimpigia na anapokea kwa unyenyekevu kabisa.

Ni mtu mwenye roho nzuri na anayeweza kukusaidia kupata ufumbuzi wa changamoto zako, haringi wala hajivuni kabisa. Hata kama yupo busy namna gani atakupokelea simu yako tu na kukutaka radhi na atakuambia nicheki muda fulani.

Siwezi kuelezea mengi lakini ndugu Mshana Jr ni mtu muhimu sana na ni mwelevu wa vitu vingi sana.
 
Ni kweli yupo vizuri sana alishanisaidia jambo fulani, sema siku hizi kafunga DM yake kuna kipindi nilimtafuta sana nikakwama japo alinipa hadi no yake ya simu
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Naona Mshana Jr umakuja na ID nyingine kujipigia promo!

KAMA SIO BIKRA USIOE
 
Back
Top Bottom