Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Atakuwa amekufikisha tu huna jipya [emoji41][emoji41]
Hahah, huyu mama ananifurahishaga sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa amekufikisha tu huna jipya [emoji41][emoji41]
muonee huruma amelemewauna nyege wewe si bure
ThanksHii point ya mwisho ina ukweli,hata mie nilishawahi kukutana uso kwa uso na Mshana Jr Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupenda ni haki yako!Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
[emoji3][emoji3][emoji3]Sie kina kingwendu tunachangia pia?
Dah[emoji173][emoji173][emoji173]
Heri ya pasaka dear.bado unaishi kibaha??.naitaji kiwanja huko boss unisaidieDah[emoji173][emoji173][emoji173]
Pamoja nawe rafiki utakuja lini?Heri ya pasaka dear.bado unaishi kibaha??.naitaji kiwanja huko boss unisaidie
Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Kuna wakati anakuwaga Mganga huyo jamaa na waganga wa siku hizi masharti Yao si unayajuaRamadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Na udalali unafanya?Pamoja nawe rafiki utakuja lini?
Tuna group la biashara mbalimbaliNa udalali unafanya?
[emoji3][emoji3][emoji3]huku ni kumtisha mdau sasaKuna wakati anakuwaga Mganga huyo jamaa na waganga wa siku hizi masharti Yao si unayajua
Anaweza kukuuza hata weweNa udalali unafanya?
Nakuja sana huko.pale chuo cha mwalimu nyerere institute.kuna issue huwa nafanya pale.nikija tena nitakushtuaPamoja nawe rafiki utakuja lini?
,Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu