Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Ramadhan Kareem.

Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.

Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.

Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.

Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.

Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.

Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.

Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.

Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Kupenda ni haki yako!

Lakini ishi kwa akili

Usipende ukaanza kujenga Vita na watu wanaokuzunguka

How comes unasimama mbele ya Jamii hii na kupiga mbiu kuwa kwenye Jamii hii mmoja ni Bora zaidi ya wote!

Umetumia utafiti gani?

Unayo haki ya kusema huyo jamaa yako unampenda Ni handsome!

Ila huna haki ya kusema ni handsome zaidi ya wote kwenye Jamii hii!
Hilo Ni shambulio dhidi ya sura za wanaume kwenye Jamii hii!

Ingia PM msifie mkiwa wawili!
Weka appointment mukutane lodge umwagie hizo sifa mkiwa faragha

Ila usisimame hadharani hapa then unaanza kuziparua sura zetu kwa manufaa yenu!

Stupid

Niko serious na kauli yangu, na sitaki kauli za ooh, Ni masihara tu ya kuchangamsha jukwaa

Mara ooh, don't take everything serious in life

Kisaikolojia kila mtu anahitaji kuona hadhi yake inalindwa, really I'm telling you!

Nimekumaindi Sana ewe mwanamke usie na busara!



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ramadhan Kareem.

Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.

Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.

Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.

Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.

Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.

Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.

Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.

Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Kuna wakati anakuwaga Mganga huyo jamaa na waganga wa siku hizi masharti Yao si unayajua
 
Ramadhan Kareem.

Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.

Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.

Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.

Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.

Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.

Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.

Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.

Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
,
 
Back
Top Bottom