Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]mshana anapenda sana chura hapo sikatai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]mshana anapenda sana chura hapo sikatai
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji144] [emoji23] [emoji23] [emoji144] [emoji23] [emoji144]Mshana Jr. Kamteka kimazingara huyo....huyu msela itabdi anipe kizizi cha kupata madem wakali kwa gharama ndogo maana hii mizinga ni too much. Tehe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mshana jr huyu shem mbona kama ni moja kati ya yale majini yanayovaa umbo la mwanadamu, au mtaalum umelituliza kwa ufundi wetu ule
Hahhahahaaaa nimekuja na ungoMshana Jr, uko wapi au uko kilingeni? maana huko huruhusiwi kuperuuzi, ukimaliza njoo huku kuna watu wanamtamani mkeo, wanasema kaficha sukari 😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Happy birthday Mzee wa Post NGUMU
Maana yake nini?Mkuu Mshana Jr,nahisi ulitumia ikumbo...
[emoji512] Happy Birthday Mshana[emoji512]Today is my birthday (almost half way to the high way ) Thanks Jambazi for the makings of this big day NITAIKUMBUKA hii post kila birthday yangu itakapofika nikiwa hai or else
silence means....Mbona mshana hatokie kuthibitisha?
Au badilisheni heading iwe "" UTAALAMU WA MAJINI NA UCHAWI".....He will here in a second...[emoji28] [emoji28]
HahhahahaaaaAisee mshana huyu huyu anayeshinda bongo kulala ughaibuni?
Bibie kwema huko?[emoji512] Happy Birthday Mshana[emoji512]
So leo utavaa pampers au nepi?[emoji480]
Kwema kabisa, yani umepotea nakusaka sikuoni.Bibie kwema huko?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] chochote kitakachotokea poa tu[emoji512] Happy Birthday Mshana[emoji512]
So leo utavaa pampers au nepi?[emoji480]
Muungwana watu wanataka kujua siri ya mchezo kama hivi hivi ama ulimfanyia meditation na miziziology mingine?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]my Angel Nylon njoo huku fasta naundiwa zengwe
Kama kwema basi kheri ila kuhusu kunisaka na kutoniona hilo halina ukweli sababu nipo nimejaa tele.Kwema kabisa, yani umepotea nakusaka sikuoni.
Hamna kitu kaka mahaba tuuMuungwana watu wanataka kujua siri ya mchezo kama hivi hivi ama ulimfanyia meditation na miziziology mingine?