ezekeo
Member
- Aug 27, 2022
- 63
- 158
Nimejikuta katika wakati mgumu wa kuiamini taarifa inayosema eti rais Ruto wa Kenya ndie rais wa kwanza kufanya ziara rasmi ya kiserikali nchini marekani kwa kipindi Cha miaka 15 iliyopita.
Swali ni je Hawa Marais wengine kutoka afrika ambao kwa mamia walioitembelea marekani kwenye hicho kipindi Cha miaka 15 kabla ya hii ziara ya Ruto ni kwamba ziara zao hazikuwa zikitambulika na serikali ya wamarekani?
Kama jibu ni ndio, vipi kwa nchi zetu za kiafrika kama tuko na huo utaratibu wa kutozitambua ziara za Marais wa nchi nyingine ikiwemo marekani kuwa rais kutoka nchi ya kigeni(nje/ndani ya afrika) aitembelee nchi nyingine ya kiafrika na ziara yake isitambulike kama ziara rasmi yaani ionekane amezurura tu mpaka pale nchi husika ikijisikia ndipo iitangaze ziara husika kuwa ni rasmi?
Kwa idadi ya Marais kutoka afrika waliotembelea marekani tena wengine wakionekana ikulu ya marekani kabisa halafu Leo tuambiwe ziara zao hazikuwa rasmi huko ni kuwakosea heshima viongozi kutoka afrika na ni kuwagombanisha na wapiga kura wao.
Swali ni je Hawa Marais wengine kutoka afrika ambao kwa mamia walioitembelea marekani kwenye hicho kipindi Cha miaka 15 kabla ya hii ziara ya Ruto ni kwamba ziara zao hazikuwa zikitambulika na serikali ya wamarekani?
Kama jibu ni ndio, vipi kwa nchi zetu za kiafrika kama tuko na huo utaratibu wa kutozitambua ziara za Marais wa nchi nyingine ikiwemo marekani kuwa rais kutoka nchi ya kigeni(nje/ndani ya afrika) aitembelee nchi nyingine ya kiafrika na ziara yake isitambulike kama ziara rasmi yaani ionekane amezurura tu mpaka pale nchi husika ikijisikia ndipo iitangaze ziara husika kuwa ni rasmi?
Kwa idadi ya Marais kutoka afrika waliotembelea marekani tena wengine wakionekana ikulu ya marekani kabisa halafu Leo tuambiwe ziara zao hazikuwa rasmi huko ni kuwakosea heshima viongozi kutoka afrika na ni kuwagombanisha na wapiga kura wao.