Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Yani hilo ndo balaaa... Na pia kuna siku za kutrade mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heeh! Kumbe akina mkuu wa kaya Maxence Melo na Ruge walipigwa vikali? Pole zao jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu naweza kupata hayo madesa wapi? haya ninayosoma huku tunachanganyana tu sijui utapeli najiuliza inakuaje utapeli wakati unauza na kununua mwenyewe?
 
Shida ya watanzania ni moja wanakurupuka na hatupendi kusoma wote wanaiponda forex na wanaoisifia forex hawajui hata kirefu chake (foreign exchange) na sio mchezo wala sio njia yoyote ya kupata utajiri ni soko la kubadili fedha za kimataifa....
 
Nyie ndo wale mkikanyagwa bahati mbaya afu mkaambiwa sorry mnarusha maneno na ngumi kabisa...jamaa si kasema mniwie radhi walokole au inamaanisha nini hiyo sentensi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi forex ina shida gani? Kama unanunua kwa bei ndogo unauza kwa bei kubwa hapo shida inakuja wapi?
Hapo ndio utapeli ulipo lala sasa
unanunua nini kutoka kwa nani na ukafanyie nini
na una uza kwa nani na akafanyie nini
ni nani ana determine bei kupanda na kushuka na anatumia vigezo gani?

akili za kwako chamganya na zakuambiwa
 
Forex bila knowledge inaitwa betting, a.k.a kamari, forex with knowledge inaitwa trading, so tafuta forex type yako acha kuconfuse jamii, wakati unakamia hapa forex ni kamari makampuni yoooote makubwa duniani unayoyajua wewe yanatrade stocks zao kwenye forex market na share zinapanda na kushuka kutokana na currency volatility, sasa we kaa na knowledge ya easy cash thru forex trading uje uuze nyumba ya mdingi akutoe kafara kabisa, hizi currency usd, chf, jpy, eur nk zinamovement zake km unaweka tu pesa yako hujui huko duniani kunaendelea nini we unaloose, broker wako anakenua meno tu anataka uendelee hivyoooo hivyoooo na strategy yako ya kuweka hela bila taarifa yoyote, kisha urudi mtaani uza ulivyonavyo urudi tena uteketeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndio utapeli ulipo lala sasa
unanunua nini kutoka kwa nani na ukafanyie nini
na una uza kwa nani na akafanyie nini
ni nani ana determine bei kupanda na kushuka na anatumia vigezo gani?

akili za kwako chamganya na zakuambiwa
Kwenye forex hatuuzi bidhaa shida nyie mmeesha danganywa na wajanja wametumia jina forex kuwatapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndio utapeli ulipo lala sasa
unanunua nini kutoka kwa nani na ukafanyie nini
na una uza kwa nani na akafanyie nini
ni nani ana determine bei kupanda na kushuka na anatumia vigezo gani?

akili za kwako chamganya na zakuambiwa
Mkuu unaonekana uko dunia ya mbaaaaaaali sana nyuma kama miaka 40 nyuma ya wakati. Dunia ya sasa ipo ktk information age ndugu, maarifa mengi yapo ktk mtandao. Hivi uliwahi hata ku google neno Forex trading hata siku moja?
Jaribu kuyatafuta maarifa mtandaoni mkuu usitegemee sana maarifa pekee ulosoma shule maana muda si mrefu yatakua useless kwa sababu ya kasi ya teknolojia ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…