Mshindi wa Big Brother Hotshots Idris Sultan Anunua nyumba ya kifahari

Mshindi wa Big Brother Hotshots Idris Sultan Anunua nyumba ya kifahari

Kwangu mm maisha ni bahati tu unaweza soma sana na usiiish kwenye nyumba kama hiyo milele ukicheki bwana mdogo kama huyu ana ish maisha ambayo hata hakuwai kuota

Leo. Upo macho
 
Basi Avemaria, hatulumbani tena... haya leta stori, kijana kapewa mjengo watu wanaanza majungu, oh... haiwezekani mtu apewe mjengo wote ule bure bure tu... ni kweli haiwezekani?

Kwa maisha ya sasa hivi lazima tujiulize bure bure tu? Its really hard to believe
 
Last edited by a moderator:
why hard ladykims? Jamaa si wamemzawadia kwa ajili ya ushindi alioupata BBA, au? sema dah...

That house ina worth sh ngapi? Mtu akupe tu bila kazi yoyote kisa kashinda bba. I just dont believe it kwa maisha ya sasa mtu akikupa 10,000 tu unaanza kujiuliza maswali sembuse jumba la ghorofa. Ahakikishe amepewa hati ya nyumba tu tena original.
 
Last edited by a moderator:
That house ina worth sh ngapi? Mtu akupe tu bila kazi yoyote kisa kashinda bba. I just dont believe it kwa maisha ya sasa mtu akikupa 10,000 tu unaanza kujiuliza maswali sembuse jumba la ghorofa. Ahakikishe amepewa hati ya nyumba tu tena original.
worth millions of TShs! Sasa ladykims, ina maana akishapewa hiyo hati ndo itafuta mashaka kwamba how come mtu anapewa bonge la mjengo bure bure? au hofu yako ni kwamba lazima Idris atakuwa amepewa in exchange of something...
 
worth millions of TShs! Sasa ladykims, ina maana akishapewa hiyo hati ndo itafuta mashaka kwamba how come mtu anapewa bonge la mjengo bure bure? au hofu yako ni kwamba lazima Idris atakuwa amepewa in exchange of something...

Wanajua wenyewe wawili atleast atakuwa na hati ya kusema umenipa na ni yangu isije kiwa ya wema sepetu kunkunyang'anywa gari
 
Wanajua wenyewe wawili atleast atakuwa na hati ya kusema umenipa na ni yangu isije kiwa ya wema sepetu kunkunyang'anywa gari
anyway, HSC ni wakwepa kodi wazuri, so kila ki2 kwa upande wao kinawezekana...
 
Hivi ile nyumba alonunuaga wema iko wapi? Ilipotea eehe? Sasa ndo same drama,idris hajanunua hiyo nyumba,kapangisha ni nyumba ya muarabu mmoja hapa town,tena hata mkataba hajapewa bado,hapo alienda kuangalia akapiga picha,,msifien tu for now mana mtakavombadilikia akiumbuka hataamin..
 
- Kwenye blog yangu tuliandika amenunua tukapigiwa simu na wahusika kwamba amepewa na Mmiliki wa Home Shopping Centre kama alivyosema mwenye hapo kwenye maandishi mekundu!!

Le Mutuz

Kwani home shopping center ni part of Alosco Group of companies? Just asking
 
- Wacha hizo Mshindani wake Mnigeria aliporudi kwao kuna Mfanyabiashara aliyempa zawadi ya pesa zaidi ya zile za zawadi ya ushindi so sio ajabu soma vizuri maneno aliyoandika mwenyewe Idris na aliyoyasema Ghalib mwenyewe

Le Mutuz

Nlilipita kwenye blog moja credible tu, wakawa wameandika Idriss AMEJIPATIA jumba la kifahari....hili neno amejipatia lilinipa utata mwingi. Sasa umethibitisha utata wangu.
 
kwa nini aisende nje ya jiji kununua plot na kujenga town house kama nne hivi..za kawaida kwa kutumia contractors then nyingine anapangisha then na miradi ya hapa na pale..ila hongera sana..huyu chalii yupo positive na ana uelewa mkubwa sana
 
Fahari ni anayejenga siye anaenunua iliyojengwa ikiwa hajui cost ya ujenzi wake.
 
dogo nimekukubali but kumbuka kuwa smart investor......with your house as asset you can launch smartest projects by using banks money......
 
- Kwenye blog yangu tuliandika amenunua tukapigiwa simu na wahusika kwamba amepewa na Mmiliki wa Home Shopping Centre kama alivyosema mwenye hapo kwenye maandishi mekundu!!

Le Mutuz

aisee pamoja na kushinda pesa zote zile bado tu anaendelea kupewa vya bure tena vikubwa hivi??? hii ni bahati au nini??
 
Mbona amepewa land na mapesa mengine na Rais Jakaya Kikwete,hamkusema lolote...huyu aliyempa nyumba ndio mnaropoka 😂😂😂😂😂...Idris,you are one lucky bast*ard,and I will love to marry YOU!!!

hahahaaaa embu tuma proposal wangu, ukafaidi vya bureeeeeee....bureeeee!!!
 
Nendenii pm hapa hatuko kwenye haya mambo ya salam! Tunataka kujua anepewa nyumba ya ghorofa moja tena naeneo ya fukwe za bahari ya Hindi kwa vigezoo gani?

just kind, kuna tatizo kwani, si unajua kuna watu wana mioyo yao ya kutoa
 
Back
Top Bottom