Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Hiki ndicho nilikua naongea na mzee wangu kikaoninjana usiku, kwamba, nataka ku reinforce takwa lake la taraka alikamilishe mapema.
 
MROGE
 
Kabla ya kumpiga umesema alikujibu shit. Huko kukujibu shit alikujibu siku hiyo moja tu au huwa anakujibu shit mara kwa mara?
NIrudie kwa kusema kuwa ,nilikuta picha za hovyo amepiga kwenye simu yake wakiwa wameenda beach hotel flan hapa dar kwa safar ya kiofisi, nilipotaka maelezo ndio akatema shit ndipo nikamtandika
 
kupambana nae kupitia teknolojia ya "anga za juu", ila mimi kiukwel, I DO NOT WISH HER ANYTHING BAD".
Hapo linapigwa kombora lisilomdhuru, anapigwa kombora moja lakumtuliza tu akili yake...yaani anakusahau kabisa, hakufuatilii, hakusumbui, hakudhuru, ukimwambia jambo anakusikiliza..

The same to me, niliachana na baby mama watoto watatu..aliniandama akanitoa kwenye kajumba kangu, akanivurugia ofisini kwangu...

Nikafanya namna fulani hivi, sasa hivi katulia akipiga simu ni kunipa taarifa tu kuhusu watoto au kunikumbusha mahitaji ya watoto, nikimwambia sina, jibu lake moja tu, SAWA UKIPATA UTANIINGIZIA KWENYE ACCOUNT YANGU.
 
Hi yo kesi ni matrimonial na haiwahusu polisi.Tafuta wakili akusimamie.Kisha urudi ha pa kuleta feedback
 
Hapo kwenye kuvurugana kwenye masuala ya kiofisi, hilo nililiona , nisingekua makini, nilitakaga kumfanya one of directors and signatory kwenye kampuni, ila AKILI IKAGOMA KABISAAAA. Hakyanani , namshukuru Mungu sana kwa huu uamuzi, maana sasa hiv naamin hali yangu ingekua mbaya mnoooooo
 
Hapo kwenye kuvurugana kwenye masuala ya kiofisi, hilo nililiona , nisingekua makini, nilitakaga kumfanya one of directors and signatory kwenye kampuni, ila AKILI IKAGOMA KABISAAAA. Hakyanani , namshukuru Mungu sana kwa huu uamuzi, maana sasa hiv naamin hali yangu ingekua mbaya mnoooooo
 
Hi yo kesi ni matrimonial na haiwahusu polisi.Tafuta wakili akusimamie.Kisha urudi ha pa kuleta feedback
Ndo niltaka kuuliza na mie....jamaa akimpata wakili mzuri kila kitu chake kinarudi...
Ila tu ajue hiyo ni vita, akusanye silaha zake zote.

Mengine ni ile tu kutokujua taratibu na kuogopa saana askari...

Mimi kuna jamaa alikuwa ananidai baada ya kukodi gari lake, nikayumba kidgo nikashindwa kumlipa mwisho wa mwezi, akaenda polisi..

Nikaenda polisi wakaongea pale mikwala mingiiii...mwisho wa siku nikawauliza hii kesi nyie polisi inawahusu vipi..!? Kesi ya madai tangu lini ikawahusu nyie polisi?

Wakazuga zuga pale mwisho wa siku wasema tunawaachia room mkubaliane wenyewe
 
UKITAKA AMANI WAKATI WA VITA,UTAKUFA MAPEMA.
 
Hadithi ndeeefu ila utumbo tu...nyie ni wale wanaume mlolishwa nyama ya banda la uani..subiri akuchomee ndani ukamwombee msamaha kwa malaika mbinguni.
Toa ushauri afanye, uliloandika halisaidii chochote katika madhila anayopitia
 
Nasikitika sana kwa niaba yako
Nasikitika zaidi kwa sababu unakikimbilia kifo kwa speed yote.

Jifunze kutongoza, achana na huyo kahaba utakufa. Nakuambia atakuua hivi karibuni kwa presha.

Kuhusu Polisi nenda ofisi ya Mkurugenzi wa mashtaka pale wilayani kwenu waelezee huu mkasa kisha wape ushirikiano maana kuna polisi hapo tayari wameshachezea ajira zao

Mwisho kabisa. Jaribu sana kutumia therapy ya bamia unaweza kupata akili kiasi
 
Nachiweza kusema mwanamke akisha kukataa, akisha Anza kukupeleka mara police na Huko kwingne ni Hatari hakutaki
Nimeona mengi na nimepita pia Ila sweze elezea cha msingi Huyo kashapata mtu Ana mdo hivyo ww huna dhamani tena
 
Bila shaka ulisoma shule za EMs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…