Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Ule udongo akiuchota anamfunga kutembea anaweza hata kushindwa kwenda kazini .

Hata Kama Mke /mme analewa pombe au mzinzi chukua udongo aliokanyaga then umfunge atakuwa anatoka kazini anawaza Nyumbani tu.
 
Kumbe kakuzidi umri, ndo maana anaumia kupigwa na mdogo ake....na kama kakuzidi na kipato ndo bhaaaasss.

Ushauri, we endelea kutulia, wakati utakujibia.....mwenda tezi na omo marejeo ngamani....atarudi.
Wife wako aliruka stage, hakudanga, hajawahi kudanganywa.....kafika chuo mmeanza kuzaa.....sasa kamaliza uzazi anajiona kavunja ungo upya....

So atarudi, hakuna wa kumlelea watoto wanne kwa mapenzi, kama wewe ndo una haki atarudi, Novemba sio mbali, mpe miezi 6 tu yatachuja huko anakopewa bichwa.

Ila akirudi msisahau kupima damu.
 
Mkuu mwanamke akishaishiwa hisia kwako ni zaidi ya mnyama.

Na bila shaka anakazwa nje, hilo halina ubishi.

Hapo wewe vaa uso wa mbuzi, mpe separation anayoidai huku ukitabasamu, ili uwe huru uendelee kutafuta maisha.

Unavyozidi kuonyesha bado unamuhitaji unampa nguvu kubwa sana. Na ataitumia kukumaliza - wewe mwanaume huna any legal right / resolve kwenye ndoa, na ndio maana anatumia mkono wa sheria - polisi e.t.c kukumaliza.

Na wewe kukubali kuwa umemdhuru mwili ndio umejaa kwenye mfumo. Ungekana kwamba hujamgusa yasingefika huko. Ungesema kwamba kapigwa huko alikokuwa anachepuka.

NEVER ADMIT GUILT.

Solution: uliza swali moja, anataka nini kifanyike ili muende your separate ways? Then mpe anachokitaka legally ili na wewe upate share yako kidogo.

Usiulize kuhusu watoto wala nini. Wanakufahamu, watakutafuta.

Once her hold on you is gone hiyo ya kukufanya kila siku chache uende polisi, fanya maisha.
Shukrani chief.
Ahsante sana kwa ushauri huu
 
Binafsi nakupa pole ndugu yangu uchungu ulionao naona ni mkubwa sana kuliko haya maandishi uliyoyaandika!!!..

Mi sikaagi na demu muda mrefu sana! Lakn Kuna demu nimekaa nae almost six months mpaka nikaamua " anyway ngoja nitulie na mmoja maisha yaende"

Mwisho wa mwaka huu alipoenda kwao kusalimia alianza kuchange vibaya mnooo! Yaani Maumivu nayoyahis ni makali sana

Sasa mim just six months tuu napata such pain kwako wew nahisi ni zaidi sana

Ukiweza rjesha yule mchepuko wako wa kitambo akupe faraja kwasasa...
"kuhusu visa vyake ningeshauri utafute sehemu ya Mbali ukakae, badilisha namba ya simu ishi as if u don't exist"

Kazini Kama unaweza omba uhamishe ukakae Mbali nae! Usipofanya hivyo atakodi hata watu wakudhuru
 
Mzee umezidi unyonge sanaaa!
Yesu huyo huyo alianzisha mtiti alipokuta hekalu limegeuzwa soko!

Daudi alimwambia mwanae Suleiman Kipindi anakaribia kufa "Jionyeshe kama mwanaume!

1 Wafalme 2:1-2
[1]Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema,
Now the days of David drew nigh that he should die; and he charged Solomon his son, saying,

[2]Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujionyeshe kuwa mwanamume;
I go the way of all the earth: be thou strong therefore, and shew thyself a man;


Ni either umerogwa hujijui au sijui Nini ! Thus why huyo wife anakuwa na guts za kukuchezea tu kama Mpira!

Nadhani hata malaika mbinguni wanakushangaa sana!

Nimemsomea huu mkasa Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU!

Amelia machozi
 
Kwa nini hutaki kumuacha huyo mwanamke?
Sio kwamba sitaki kumuacha, nilikua nafikiri ni hasira tu hapo mwanzo ndio maana nikawa natafuta suluhu. Ila sio kwamba ninamganda, ndio maana alipoondoka sikujisumbua kumtafuta, na alipoona nimekaa kimya ndioa akaanza kunipeleka kwenye vyombo vya sheria.
Chaajabu ni kwamba anataka taraka lakini hajapeleka shauri la talaka mahakaman mpaka sasa
 
Back
Top Bottom