Mkuu mwanamke akishaishiwa hisia kwako ni zaidi ya mnyama.
Na bila shaka anakazwa nje, hilo halina ubishi.
Hapo wewe vaa uso wa mbuzi, mpe separation anayoidai huku ukitabasamu, ili uwe huru uendelee kutafuta maisha.
Unavyozidi kuonyesha bado unamuhitaji unampa nguvu kubwa sana. Na ataitumia kukumaliza - wewe mwanaume huna any legal right / resolve kwenye ndoa, na ndio maana anatumia mkono wa sheria - polisi e.t.c kukumaliza.
Na wewe kukubali kuwa umemdhuru mwili ndio umejaa kwenye mfumo. Ungekana kwamba hujamgusa yasingefika huko. Ungesema kwamba kapigwa huko alikokuwa anachepuka.
NEVER ADMIT GUILT.
Solution: uliza swali moja, anataka nini kifanyike ili muende your separate ways? Then mpe anachokitaka legally ili na wewe upate share yako kidogo.
Usiulize kuhusu watoto wala nini. Wanakufahamu, watakutafuta.
Once her hold on you is gone hiyo ya kukufanya kila siku chache uende polisi, fanya maisha.