Mzee umezidi unyonge sanaaa!
Yesu huyo huyo alianzisha mtiti alipokuta hekalu limegeuzwa soko!
Daudi alimwambia mwanae Suleiman Kipindi anakaribia kufa "Jionyeshe kama mwanaume!
1 Wafalme 2:1-2
[1]Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema,
Now the days of David drew nigh that he should die; and he charged Solomon his son, saying,
[2]Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujionyeshe kuwa mwanamume;
I go the way of all the earth: be thou strong therefore, and shew thyself a man;
Ni either umerogwa hujijui au sijui Nini ! Thus why huyo wife anakuwa na guts za kukuchezea tu kama Mpira!
Nadhani hata malaika mbinguni wanakushangaa sana!
Nimemsomea huu mkasa Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU!
Amelia machozi