Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Hakuna namna, japo nimeshaamua kuachana nae tu for good, aende anapotaka
Huwezi kuachana nae huyo.....kwanza kwa nini umelipa ada? Kama ameamua kuondoka na watoto means anaweza kuwahudumia.....inaonekana anajua udhaifu wako ni yeye na watoto ndo maana anakupelekesha, alivyoondoka ungekausha usingeita hata kikao.....ulivyoanza kuweka vikao ndo akaona anakumudu.
 
Mzee umezidi unyonge sanaaa!
Yesu huyo huyo alianzisha mtiti alipokuta hekalu limegeuzwa soko!

Daudi alimwambia mwanae Suleiman Kipindi anakaribia kufa "Jionyeshe kama mwanaume!

1 Wafalme 2:1-2
[1]Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema,
Now the days of David drew nigh that he should die; and he charged Solomon his son, saying,

[2]Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujionyeshe kuwa mwanamume;
I go the way of all the earth: be thou strong therefore, and shew thyself a man;


Ni either umerogwa hujijui au sijui Nini ! Thus why huyo wife anakuwa na guts za kukuchezea tu kama Mpira!

Nadhani hata malaika mbinguni wanakushangaa sana!

Nimemsomea huu mkasa Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU!

Amelia machozi
Ahahahah mwenyekiti Lissu anisamehe kwa uzembe huu nilioufanya.
Nilijaribu kuipa lobe nafasi ila nimegumdua, am playing games
 
Huwezi kuachana nae huyo.....kwanza kwa nini umelipa ada? Kama ameamua kuondoka na watoto means anaweza kuwahudumia.....inaonekana anajua udhaifu wako ni yeye na watoto ndo maana anakupelekesha, alivyoondoka ungekausha usingeita hata kikao.....ulivyoanza kuweka vikao ndo akaona anakumudu.
Hili ni kwel, nakubaliana na wewe, watoto wangu ndio udhaifu wangu mkubwa
 
Ile narudi home, nakuta ,kabeba watoto wangu, kabeba hati ya nyumba na eneo, kabeba card ya gari na vyeti vyake vyooooote vya taaluma na ajira (mtumishi wa serikali yeye) akasepa.
Nikaja gundua kuwa ni kaka yake alimfuata.
Hati na kadi.

Achana nae uwe unazichapa za pembeni.

Ndoa Ndoa Ndoa Ndoa Ndoa
Why
 
Mkuu
Ulikosea hukumuwahi hicho alichokitaka!

Mpe talaka ya maandishi yaani mpigie simu mwambie njoo uchukue talaka andika ya maandishi hasta kama sio ya mahakamani!Tena ifanyie lamination kabisaaa!

Kuachana ni roho mkuu Wala sio makaratasi ukishaandika ukampa utakua ndio ushahidi wake wa maisha!!



Na Mali mwambie anachotaka achukue!!

Ile safari aliyotaka afike na wewe ameshafika mwache aende!!
 
Hili ni kwel, nakubaliana na wewe, watoto wangu ndio udhaifu wangu mkubwa
SItisha huduma kwa sasa sitisha huduma sitisha mawasiliano watakumaliza hao.

Hata ufanye vipi hapo hao watoto watalishwa maneno kwamba wewe ni mbaya kwao na watatambulishwa kwa baba mwengine.

Yeye si kamwaga mboga?? Basi na wewe katupe ugali baharini kabisa.

Hallelujah!!!
 
Mkuu
Ulikosea hukumuwahi hicho alichokitaka!

Mpe talaka ya maandishi yaani mpigie simu mwambie njoo uchukue talaka andika ya maandishi hasta kama sio ya mahakamani!Tena ifanyie lamination kabisaaa!

Kuachana ni roho mkuu Wala sio makaratasi ukishaandika ukampa utakua ndio ushahidi wake wa maisha!!



Na Mali mwambie anachotaka achukue!!

Ile safari aliyotaka afike na wewe ameshafika mwache aende!!
Mkuu kwa wakristo ,talaka ya namna hii inawezekana?? Nifundishe zaidi
 
Ahahahah mwenyekiti Lissu anisamehe kwa uzembe huu nilioufanya.
Nilijaribu kuipa lobe nafasi ila nimegumdua, am playing games
Yaani nimesoma huo mkasa wako!
Nimeumia sana as if your my blood brother.

Kwanza umekosa washauri! Na Inaonyesha wewe ni mtu msiri sana na mambo yako!

Cha kwanza be a man! Show your self as man ... Stand against her boldly mkuu!

I'm Born again Christian brothers lakini siishi kinyonge.

Ni lazima ulielewe hili mkuu! Kwa akili na matukio anavyofanya huyo mwanamke ni wazi kabisa amesha haribu akili za watoto juu yako!

Unaweza kuomba na kufunga? Tuingie nalo hili kwenye maombi? Maana wewe kuroga huwezi! Maombi ya vita vipi?

Ila umeifanya siku yangu kuwa mbaya!

Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU ananiuliza mbona Nina huzuni? Nikamwambia aliyekuliza Mimi kanihuzunisha
 
SItisha huduma kwa sasa sitisha huduma sitisha mawasiliano watakumaliza hao.

Hata ufanye vipi hapo hao watoto watalishwa maneno kwamba wewe ni mbaya kwao na watatambulishwa kwa baba mwengine.

Yeye si kamwaga mboga?? Basi na wewe katupe ugali baharini kabisa.

Hallelujah!!!
Nimeamua kufanya hili mkuu
 
Back
Top Bottom