Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Yah, nafunga 24 hrs every Tuesday na 12 hrs every Thursday
Hiyo nzuri basi katika maombi yako ... Uwe unaomba hii zaburi


Zaburi 109:1-3,5-7
[1]Ee Mungu wa sifa zangu, usinyamaze,
(To the chief Musician, A Psalm of David.) Hold not thy peace, O God of my praise;

[2]Kwa maana wamenifumbulia kinywa;
Kinywa cha mtu asiye haki, cha hila,
Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.
For the mouth of the wicked and the mouth of the deceitful are opened against me: they have spoken against me with a lying tongue.

[3]Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka,
Wamepigana nami bure.
They compassed me about also with words of hatred; and fought against me without a cause.

[4]Badala ya upendo wangu wao hunishitaki,
Ijapokuwa naliwaombea.
For my love they are my adversaries: but I give myself unto prayer.

[5]Wamenichukuza mabaya badala ya mema,
Na chuki badala ya upendo wangu.
And they have rewarded me evil for good, and hatred for my love.

[6]Uweke mtu mkorofi juu yake,
Mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
Set thou a wicked man over him: and let Satan stand at his right hand.

[7]Katika kuhukumiwa ataonekana hana haki,
Na sala yake itadhaniwa kuwa ni dhambi.
When he shall be judged, let him be condemned: and let his prayer become sin.
 
Anhaa nimeshaisoma hii game, hapa unachoogopa ni mama watoto kupigwa juju ! Usihofu mkuu atakaa sawa juju ikimuingia vizuri inaonekana saivi ana kiburi pro max na anakudharau sana zaidi ya sana
 
Nilisha hama, mwezi huu kwenda ku chill mwanza nihamishe harakat huko, alipo jua hilo ndio moto wa police ukaanza, nahisi hataki na mimi ni move on
Daaah!! Hawa watu sijui wanakuwaga na shida gani......

Kuna jamaa angu aliwahi dhalilishwa kweny kikao Cha familia yake!

Yaani demu aliwaambia wazazi pale kweny kikao kwamba mshikaji huwa ana mwomba jicho (👁️)... Kwahio hataki kuendelea nae
" Kumbe kapata mwana mwingne ana hela nyingi vibaya mnoo" akawa anataka kuvunja penzi..

Badilisha namba ya simu! Halafu usiweke kikao nae chochote yaan
 
Hakuna kitu kinaitwa uchawi wala kulogwa kwa mujibu wa mimi mwenyewe.
 

Fanton Mahal naomba sana uzingatie ushauri huu. Utakusaidia. Na wengi tulishapitia huko.

Ogopa sana mwanamke akishaamua kukufanyia ubaya. Na ukizubaa anaweza hata kukuua huyo. Usimpe hiyo nafasi ya kukuua 📌📌📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…