Kuna ka ukweli ndani yake! Ila nahs sio sana ni jinsi manvyo ishi tu. Hata kama mnalingana kama mwanamke kakupanda kichwan jiandae na early grave.sio kweli wanaume wanakufa mapema kwa sababu ya kuoa watu walio chini ya umri wao mfano mwanaume amepishana na mkewe miaka 10, 15 unategemea nini hilo hawalitambua kama mi mwongo mwanaume aoe mtu alie lingana nae umri alafu majibu mtapata vizaz vya mababu zetu wengi walitangulia wake zao hata wewe fuatilia historia za babu zako utanipa jibu
Tena walifuatanaMama kingunge ashafariki
ukiwa mtu asiejali na kufuatilia wanawake na kutoweka mambo rohon huwez kufa kabla ya umli wako mfano mwinyi kafa na miaka 90+ vp mkewe ana mingapi?Kuna ka ukweli ndani yake! Ila nahs sio sana ni jinsi manvyo ishi tu. Hata kama mnalingana kama mwanamke kakupanda kichwan jiandae na early grave.
Huu ndo ufunguo sio kulialia ama kutoa ya rohon. Ni namna unavyo weza kuhandle situation na kuchukulia easy!ukiwa mtu asiejali na kufuatilia wanawake na kutoweka mambo rohon huwez kufa kabla ya umli wako mfano mwinyi kafa na miaka 90+ vp mkewe ana mingapi?
OohMKE wa Moses Mnauye ! ( sio mama yake Nape)
Wote wako hivyo.....Ukifa tutaishije?Me nilimwambia mke wangu tuuze kibanda chetu, alichonijibu "UNATAKA UKIFA SISI TUISHI WAPI"?
kwa hiyo mke wangu [emoji817] anaamini Mimi ni haki yangu kutangulia.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Siri ndio uanaume wenyew, yani ni maumbile na hatuwezi!Wanaume mnakufa haraka sababu ya kuweka mambo mengi moyoni
Hebu anzeni kuzungumza yanayowasibu muone mtakavyoishi...wewe hata mke wako akikupiga sema
Mkuu, tupunguze kupanda panda etiJifunze na hii
Nyuki Dume 'drone bees' wengine huwaita 'nyuki wa mashineni' wale wanaopenda kwenda kusaga na kukoboa mashineni' watanielewa
Nyuki Dume hang'ati maana sio kazi yake kung'ata Ila kazi yake kubwa ni kumpanda nyuki jike au malkia wa nyuki na akishampanda tu na kummwagia shahawa basi anakufa hapohapo
Dunia aina huruma na mwanaume..Nan atatetea wanaume ?Dunia ishampa majukumu mwanaume.
Hii haituhusu kataa ndoa[emoji16]Wanaume mnakufa haraka sababu ya kuweka mambo mengi moyoni
Hebu anzeni kuzungumza yanayowasibu muone mtakavyoishi...wewe hata mke wako akikupiga sema
Mama nenda youtube kasikilize nyimbo ya Dax-To be a Man, Remix.Wanaume mnakufa haraka sababu ya kuweka mambo mengi moyoni
Hebu anzeni kuzungumza yanayowasibu muone mtakavyoishi...wewe hata mke wako akikupiga sema
Ndio, si unataka kuishi sana 🤣🤣🤣 siri ndo hiyoKhaa nianze kulia lia hadi ofsini kama mnavyofanyaga?