Msiangalie Kombe la dunia chukueni tahadhari

Msiangalie Kombe la dunia chukueni tahadhari

Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.
Tatizo la afya ya akili ni so severe nchi hii , nasndaa proposal ya kuanzisha hospitali special ya kufanya mental rehabilitation na psychotherapy
 
Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.
Tatizo la Mtanzania uwezo wake wa kufikiri kuona jambo jipya unapokoma ataita freemason. Ukiipata utajiri kwa biashara sizizoonekana kwa macho kama za mitandaoni watakuita freemason.

Sasa hivi wanashindwa kutofautisha ushirikina, mazingaombwe na freemason. Hivi Kuna mtanzania wa kujiunga freemason?

Kwa illusion hiyo ya ujinga wa watanzania Kuna matapeli yamepata nafasi ya kuwaibia wajinga eti mabango Tz nzima jiunge na chama kubwa FM utajirike.

Kwa illusion hiyo Kuna watu wameuawa kwa kuisiwa ndio wenyewe kama wale wafanyakazi wa serikali waliouawa huko Dodoma kikatili waliokuwa kwenye majukumu Yao ya kupima ardhi
 
Hata hiyo sumatifoni unayotumia ni mbinu ya kashetani kukuingiza kingi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] me twitter na WhatsApp natumia kama nimeingizwa kuwa mwanachama mbona kwenye account yangu sioni mtonyo wowote? AU NDIO NITUMI AFUTATU YA KUJIUNGA

Tuma aftatu kwanza,tukuunge[emoji2]
 
Kumbe magari ni haramu? Sikuwahi kujua aisee
[emoji3518][emoji3519] ni hatari
twin-cam.gif
 
Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.

Freemason ndio wanafanya upate Madawa bure au kwa bei pungufu

Ukiumwa usiende hospital utapata shida siku ya kiama
 
Back
Top Bottom