Msichana mwenye bleach kichwani dela kikuku mguu wa kushoto na sendoz ya manyoya

Nitapenda kukuona ukiwa na bleach...

katikati bleach alafu pembeni zinakua nyeusi, napenda mwanamke awe hivyo...
Walimu wa dar wanaweka? Mwalimu na marangi mengi kichwani huku mkoani ni nongwa.Kwa ushauri mwambie huyo jirani niliyemkuta anakuhudumia aweke bleach kama upendavyo.Mi mpitaji tu
 
Walimu wa dar wanaweka? Mwalimu na marangi mengi kichwani huku mkoani ni nongwa.Kwa ushauri mwambie huyo jirani niliyemkuta anakuhudumia aweke bleach kama upendavyo.Mi mpitaji tu
Usikasirike jirani... Hahahah...
Ukiwa likizo weka bleach... Mpaka likizo ikisha zitakua zishaota... hahaha
 
Wewe kweli wa Manzese. Hizi tips ndio zenyewe hizi
 
Kuna mdada jirani hapa,anavaa kikuku,halafu anaongeaga mambo ya Mombasa,sasa huwa nashindwa kuwaelewa wale wanaosemaga vikuku ni pambo tu,ukimuona huyo dada,mmmh...
 
Jamani mnunulie tu vyakushindia, huwa ni vizuri kama mtu hujisikii kubanwa πŸ˜€πŸ˜€ unakula hewa safi kabisa!
 
Auntieee umepita huku Makiwendo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo mazito haya πŸ˜„πŸ˜„ Breach kuna vichwa zinapendeza , alafu unakuta kala t shirt moja matat, jeans moja imenyooka, alafu chini raba moja ya moto na kikuku chake cha gold kinang'aa nje pale kapaki Jeep Moja matata ya maroon.. Hao wanao kutana nao nao ni malaya hata wasipo tia breach bado wanaonekana malaya tu..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja aje aione mama wa jeep
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…