Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Huu ushauri sio mzuri na sina uhakika kama unatoka kwa mtu aliye ndani ya Ndoa yenye utulivu na mwendo wa kueleweka.

Kimsingi uliyosema ni mambo yenye utata sana. Ngoja nikuulize maswali ndugu, sorry kama nitakukwaza ila ndio honest conversation ilivyo.

1. What is more into life nje ya marriage?! Sababu hapa hatuzungumzii maisha ya career tunazungumzia familia. So familia inazuia mtu kufanya mambo yake na mwisho wa siku hayo mambo si tunafanya ili tuwekeze kwenye familia au?!

2. Umesema insurance ya mwanamke ni money, so unataka nambia akina Oprah Winfrey, Jlo, Celine Dion etc wanaingia kwenye ndoa kutafuta nini na pesa wanayo?! Hivi kweli wewe ndoa unaielewa maana yake na maudhui yake?!

3. So unataka kuuaminisha uma au jamii hii kuwa wanawake kuingia katika ndoa ni suicide mission kwamba akiingia hizo vitu zote hawezi fanya na hatotakiwa kufanya?! Kwahiyo unataka nambia hawa wadada wote walioajiriwa, wanaofanya baishara huko mijini na mitaani woooooote hawa hawana ndoa wala hawana wanaume wanaoishi nao nyumba moja?!

4. Kama "Money is always a woman's insurance" je anaingia katika ndoa kutafuta nini?! Utapenda ukiwa na mtoto wa kiume aoe mwanamke mwenye mentality ya kutaka pesa tu kwenye mahusiano yao ?!

So kama hiyo ndio ajenda ya mwanamke, je ya mwanaume ni ipi katika ndoa, je wanaume insurance yao ni ipi?!

5. Unaweza nambie dreams za mwanamke ni zipi?! Maana wanawake wa kisasa m'mekuwa intoxicated na kiwa poisoned na Westworld feminists ideologies.

Kama mwanaume ndoto zake ni asome kwa bidii, apate kazi nzuri na kuwa na kipato kizuri kisha kutafuta pisi kali aoe wajenge familia na kujenga life pamoja, ndoto ya mwanamke ni ipi?!

Utasikia travel the world, huko kutravel huwezo travel na familia yako ya mume na watoto, au ndio umalaya unaenda huko huna mume kuvizia wale mabeach boy ambayo kazi yao kuwapakaza mashahawa tu ya umalaya. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pumbavu sana nyie.

Mimi mafeminist wa kisasa tena nyie wanawake huwa nawaona zero brain sana. Yaani mnakosa direction ya maisha kazi yenu ni kupropagate mambo na kukosa hoja za msingi. Mnakalia ubinafsi tu.
Ningekua ni moderator ningehakikisha kila mwanamke anayesoma huu uzi aisome kwanza hii comment yako.
Simply, SUPERB!!!🤝🤝🤝🤝
 
1.Hitaji la kwanza kabisa la mwanamke ni AFFECTION(exclusive care)
----AFFECTION inamaana ya kumpenda,kumjali,kumskiliza,kumshauri,n.k
-----affection is more than love.
------kisses,hugs,flowers,gifts,extending common courtesies,showing little daily acts of thoughtfulness and so forth

2.COMMUNICATION.
---wanaume wengi hufikiri a real man is a man who keeps silent.Big NO
---Tenga muda wa kuongea nae,kumskiliza,kumshauri
----Hii itakulipa katika kuimarisha na kutengeneza mahusiano bora zaidi

3.ukweli na uwazi(HONESTY & OPENNESS)
----Unapokuwa wazi kwa mwanamke unazidi kumfanya aone una malengo naye,mapenzi naye ya dhati
-----Na hii inaweza kuwa silaha ya kumuumiza mwanamke,WHY?because a woman interprets openness as LOVE.

4.FINANCIAL SUPPORT
---Kubali/kataa mwanamke anahitaji kuwezeshwa kiuchumi/pesa.ndio maana a woman needs a man who is working and loves to work.
----kwa kipato chochote halali mwanaume anahitaji kuitunza familia yake.

5.FAMILY COMMITTMENT.
---Mwanamke anataka kuona unaitanguliza familia yenu mbele.kama kumpa kipaumbele yeye na watoto(kama mnao)
----anataka kujua na kuona kweli una mipango ya muda mrefu ya kutengeneza familia bora na yeye
Mkuu huyu MWANAMKE unayeongelea hapa ni mke au MPENZI/MCHEPUKO? Kuna wanawake hata uwape utajiri wote wa dunia hii bado hawatakuelewa.......hata umfanyie au umpe nini haridhiki na haelewi chochote. Kwa mchepuko au mpenzi nakubali lakini sio WIFE! Na sababu kubwa ya wapenzi/michepuko kuwa na adabu ni kukosa assurance kwa wapenzi/michepuko yao. So, ili amteke kiakili, anapaswa kuwa mpole na mnyenyekevu. Sasa muoe uone moto wake unavyowaka.....utajuuuuuuta kumfahamu?
 
Ndoa inanafasi yake na kamwe huwezi replace na kitu chochote hio ndo asili ya mwanadamu, travel around the world, chasing your dream vinanafasi yake na haviwez kuwa mbadala wa ndoa
wala sio mbadala get it right.
 
Usiilaumu elimu, jilaumu wewe mafanikio yote unayoyaona duniani ni matunda ya elimu na sio kitu kingine

Tuwafundishe watoto wetu wawe ni watu wa kujiongeza na kuchangamkia fulsa na sio wachukie elimu
Kweli kabisa mkuu. Elimu ni kitu muhimu sana lakini inashangaza jinsi wasichana wa kitanzania wanavyothamini ndoa kuliko elimu. Inasikitisha sana.
 
Mkuu huyu MWANAMKE unayeongelea hapa ni mke au MPENZI/MCHEPUKO? Kuna wanawake hata uwape utajiri wote wa dunia hii bado hawatakuelewa.......hata umfanyie au umpe nini haridhiki na haelewi chochote. Kwa mchepuko au mpenzi nakubali lakini sio WIFE! Na sababu kubwa ya wapenzi/michepuko kuwa na adabu ni kukosa assurance kwa wapenzi/michepuko yao. So, ili amteke kiakili, anapaswa kuwa mpole na mnyenyekevu. Sasa muoe uone moto wake unavyowaka.....utajuuuuuuta kumfahamu?
Unakubaliaje akufanye ujute? Kumuacha?

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
My sister Ana masters ila hajaolewa hadi Leo na yupo na 42! Sijui ndio wanaume wanaogopa wasomi?! ..Just thinking
Hamna mwanaume anaye ogopa msomi na ukitizama hata sasa dada yako anatongozwa na watu wanapita nae,tatizo linakuja pale mtu kubeba msalaba wa ndoa.

Mara nyingi wengi wao wana attitude ya kutaka kuwaendesha wanaume na ndio maana wengi hawa olewi ila rungu la kipepe wanalichezea kama kawa kutoka kwa majamaa yanayopenda vitonga.
 
Hamna mwanaume anaye ogopa msomi na ukitizama hata sasa dada yako anatongozwa na watu wanapita nae,tatizo linakuja pale mtu kubeba msalaba wa ndoa.

Mara nyingi wengi wao wana attitude ya kutaka kuwaendesha wanaume na ndio maana wengi hawa olewi ila rungu la kipepe wanalichezea kama kawa kutoka kwa majamaa yanayopenda vitonga.
Wengi wao wanajiona ni wanaharakati zaidi ya wanawake. Labda umkute atakayekubali kukufuga (kukuoa) kazi yako iwe kuzalisha huku ukilishwa bure. Huu ndio mtindo unaotumiwa na wanawake wengi wasome kupata watoto huku wakibaki kuwa single mothers forever!
 
Hodi humu jamvini wana MMU,

Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Najua mnahangaika na utafutaji wa maji na mkate kwa familia wakati huu.

Kwa sababu ya suala la kuolewa kuwa gumu siku hizi binti akiolewa anajiona kama amepata degree (Hons) ya first class. Siyo siri ukimpa uchaguzi binti yako kama umlipie fedha asome degree yoyote au aolewe, bila kuchelewa wala kupepesa macho atachagua kuoelewa. Hasa ikiwa huyo mwanaume anayemchumbia ni mtoto wa kishua, utakuta amejiozesha mwenyewe bila mahari!

View attachment 2412373

Juzi nilikuwa natatua kesi ya binti wa kidato cha III mwenye umri wa miaka 17 aliyeamka usiku wa saa 5 na kumfuata mwanaume mwenye umri wa miaka 23 mtaa wa pili. Huyu binti anaishi na mama wa kambo anayefanya kazi baa. Kwa kawaida, mama hurudi kutoka kazini kuanzia saa 7 usiku. Sasa siku hiyo mama alirudi mapema kabla ya saa 7 akakuta binti ametoka. Arobaini za binti zikawa zimefika.

Huyu binti hulala chumba cha uani, hivyo nafikiri ulikuwa ndiyo mchezo wake wa kila siku. Dada yake aliacha shule akiwa Kidato cha II akaolewa na lofa mmoja asiyekuwa na mbele wala nyuma. Sasa hivi anajishughulisha na uuzaji wa mboga nyumba kwa nyumba. Mdogo wake naye anatamani kuacha shule akaolewe. Hajajifunza chochote kutokana na makosa ya dada yake. Wanawake wa kizazi hiki ni kama nyani, hawajatulia hata kidogo. Hivi nyie mabinti wa kisasa mna nini lakini?

Ndoa imekuwa kama kilele cha mafanikio ya msichana. Huu ukuta unahitaji kubomolewa, hili ni gereza la kuyafunga maono ya msichana. Kuolewa ni maono ya chini kabisa, msichana unaweza kuwa na ndoto kubwa zaidi ya hii; ota ndoto kubwa zaidi.
Aisee Yaani ni majanga.
 
UNAJUA NDOA SIO HESHIMA TU, NI HITAJI LA KIAKILI, KIIMANI NA KIMWILI/KIBAIOLOJIA.

DAWA YA NYEGE NI KUTIWA TU,NDIO KUTIWA. Shida inakuja, unatiwa nani? Au ndio mwendo wa kama bodaboda yoyote anapanda!

UKIWA NA MTU WAKO, BASI MAMBO NIPOA.
 
UNAJUA NDOA SIO HESHIMA TU, NI HITAJI LA KIAKILI, KIIMANI NA KIMWILI/KIBAIOLOJIA.

DAWA YA NYEGE NI KUTIWA TU,NDIO KUTIWA. Shida inakuja, unatiwa nani? Au ndio mwendo wa kama bodaboda yoyote anapanda!

UKIWA NA MTU WAKO, BASI MAMBO NIPOA.
Pamoja na kwamba ndoa ni muhimu huwezi kuipa kipaumbele zaidi ya elimu.....kwamba msichana akatishe elimu kwa ajili ya kuoelewa kwa sababu ndoa ni muhimu. Huu ni ujuha!
 
Back
Top Bottom