Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Msichana wa Kitanzania akipata mchumba na kufunga ndoa anajiona amepata degree (Hons)!

Hapa kila mtu ana tafsiri yake ya mafanikio, yes we unaona kuana Hon. Degree ndio mafanikio, kuna ambaye akioa/kuolewa ni mafanikio tosha. So far elimu yetu ni ya kishenzi tu na yakupotezea vijana muda na kuzima ndoto zao, nikisema hivi utasema sijasoma ila ni ukweli mimi pamoja na kufika Mlimani pale na nikaajiriwa ila nimeshaona jinsi nimecheza na muda. 17 good years na bado nikahangaika kupata ajira ambayo hata hivyo nnaona bila kujiongeza nitakufa masikini, maana mafanikio ntakayopata sana ni kula, kuvaa na kujenga kajumba labda na kuwasomesha watoto ktk mtiririko huo wa kikoloni. Mimi binafsi nishaamua sio kipaumbele changu kwa mwanangu kua na degree, zaidi nitampa exposure kupitia watu waliofanikiwa, haswa kumpeleka duniani huko akajionee jinsi utajiri unatengenezwa

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Usiilaumu elimu, jilaumu wewe mafanikio yote unayoyaona duniani ni matunda ya elimu na sio kitu kingine

Tuwafundishe watoto wetu wawe ni watu wa kujiongeza na kuchangamkia fulsa na sio wachukie elimu
 
Kwa nini unapenda sana kujichomeka kwenye maisha ya watu ambao hata huwajui, kuwapa ushauri ambao hata hawajakuomba, katika mambo ambayo huyafahamu?
Haya maneno umenitilia mdomoni. Kama wewe ni mwanamke itakuwa ulijazwa mimba kwa Kiranga chako na kukatishwa masomo; so, ninapoongelea jambo hili nakuwa kama nakutonesha kidonda. Pole sana mkuu. Huenda unapitia wakati mgumu lakini piga moyo konde yatakwisha!
 
Hodi humu jamvini wana MMU,

Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Najua mnahangaika na utafutaji wa maji na mkate kwa familia wakati huu.

Kwa sababu ya suala la kuolewa kuwa gumu siku hizi binti akiolewa anajiona kama amepata degree (Hons) ya first class. Siyo siri ukimpa uchaguzi binti yako kama umlipie fedha asome degree yoyote au aolewe, bila kuchelewa wala kupepesa macho atachagua kuoelewa. Hasa ikiwa huyo mwanaume anayemchumbia ni mtoto wa kishua, utakuta amejiozesha mwenyewe bila mahari!

View attachment 2412373

Juzi nilikuwa natatua kesi ya binti wa kidato cha III mwenye umri wa miaka 17 aliyeamka usiku wa saa 5 na kumfuata mwanaume mwenye umri wa miaka 23 mtaa wa pili. Huyu binti anaishi na mama wa kambo anayefanya kazi baa. Kwa kawaida, mama hurudi kutoka kazini kuanzia saa 7 usiku. Sasa siku hiyo mama alirudi mapema kabla ya saa 7 akakuta binti ametoka. Arobaini za binti zikawa zimefika.

Huyu binti hulala chumba cha uani, hivyo nafikiri ulikuwa ndiyo mchezo wake wa kila siku. Dada yake aliacha shule akiwa Kidato cha II akaolewa na lofa mmoja asiyekuwa na mbele wala nyuma. Sasa hivi anajishughulisha na uuzaji wa mboga nyumba kwa nyumba. Mdogo wake naye anatamani kuacha shule akaolewe. Hajajifunza chochote kutokana na makosa ya dada yake. Wanawake wa kizazi hiki ni kama nyani, hawajatulia hata kidogo. Hivi nyie mabinti wa kisasa mna nini lakini?

Ndoa imekuwa kama kilele cha mafanikio ya msichana. Huu ukuta unahitaji kubomolewa, hili ni gereza la kuyafunga maono ya msichana. Kuolewa ni maono ya chini kabisa, msichana unaweza kuwa na ndoto kubwa zaidi ya hii; ota ndoto kubwa zaidi.
X wako kaolewa ety☺️
 
...kuongeza elimu kunapandisha status na hapo kuna uwezekano mkubwa wa kupata wenye elimu kama yake au zaidi ingawa kusema za ukweli wengi hawatakuwa ni age mate wake.
Siyo kwa Ke.. Mwanamke mwenye PhD ni vigumu kuolewa maana wanakuwaga kama madume tu, yaani siyo wife material.
Labda kama anajiweza yeye ndo atafute kijana wa mujini, Marioo aoe, halafu gharama zoote za maisha iwe juu yake (huyo Ke) !
 
Haya maneno umenitilia mdomoni. Kama wewe ni mwanamke itakuwa ulijazwa mimba kwa Kiranga chako na kukatishwa masomo; so, ninapoongelea jambo hili nakuwa kama nakutonesha kidonda. Pole sana mkuu. Huenda unapitia wakati mgumu lakini piga moyo konde yatakwisha!
Unakanusha jambo kwa kusema kwamba nakutilia maneno mdomoni, halafu unarudia kusema maneno hayo hayo vile vile.

Una akili wewe?

Let me indulge your feeble mind with immanent critique.

Tuseme mimi mwanamke, nimetiwa mimba kwa kiranga, wewe inakuhusu nini?

Bado hujaeleza hili jambo linakuhusu nini. Hujaeleza pilipili ya shamba wewe inakuwashia nini?

Unaona wivu ulitaka kutiwa mimba wewe? Hili ndilo tatizo lako? Unataka kutiwa mimba wewe?

Nilikuomba ushauri?

Hujajibu swali hili.

Unatoa ushauri bila kuombwa, kwa mtu usiyemjua, katika jambo usilolifahamu.
 
Hodi humu jamvini wana MMU,

Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Najua mnahangaika na utafutaji wa maji na mkate kwa familia wakati huu.

Kwa sababu ya suala la kuolewa kuwa gumu siku hizi binti akiolewa anajiona kama amepata degree (Hons) ya first class. Siyo siri ukimpa uchaguzi binti yako kama umlipie fedha asome degree yoyote au aolewe, bila kuchelewa wala kupepesa macho atachagua kuoelewa. Hasa ikiwa huyo mwanaume anayemchumbia ni mtoto wa kishua, utakuta amejiozesha mwenyewe bila mahari!

View attachment 2412373

Juzi nilikuwa natatua kesi ya binti wa kidato cha III mwenye umri wa miaka 17 aliyeamka usiku wa saa 5 na kumfuata mwanaume mwenye umri wa miaka 23 mtaa wa pili. Huyu binti anaishi na mama wa kambo anayefanya kazi baa. Kwa kawaida, mama hurudi kutoka kazini kuanzia saa 7 usiku. Sasa siku hiyo mama alirudi mapema kabla ya saa 7 akakuta binti ametoka. Arobaini za binti zikawa zimefika.

Huyu binti hulala chumba cha uani, hivyo nafikiri ulikuwa ndiyo mchezo wake wa kila siku. Dada yake aliacha shule akiwa Kidato cha II akaolewa na lofa mmoja asiyekuwa na mbele wala nyuma. Sasa hivi anajishughulisha na uuzaji wa mboga nyumba kwa nyumba. Mdogo wake naye anatamani kuacha shule akaolewe. Hajajifunza chochote kutokana na makosa ya dada yake. Wanawake wa kizazi hiki ni kama nyani, hawajatulia hata kidogo. Hivi nyie mabinti wa kisasa mna nini lakini?

Ndoa imekuwa kama kilele cha mafanikio ya msichana. Huu ukuta unahitaji kubomolewa, hili ni gereza la kuyafunga maono ya msichana. Kuolewa ni maono ya chini kabisa, msichana unaweza kuwa na ndoto kubwa zaidi ya hii; ota ndoto kubwa zaidi.
Unyamaaaaa
 
Hodi humu jamvini wana MMU,

Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Najua mnahangaika na utafutaji wa maji na mkate kwa familia wakati huu.

Kwa sababu ya suala la kuolewa kuwa gumu siku hizi binti akiolewa anajiona kama amepata degree (Hons) ya first class. Siyo siri ukimpa uchaguzi binti yako kama umlipie fedha asome degree yoyote au aolewe, bila kuchelewa wala kupepesa macho atachagua kuoelewa. Hasa ikiwa huyo mwanaume anayemchumbia ni mtoto wa kishua, utakuta amejiozesha mwenyewe bila mahari!

View attachment 2412373

Juzi nilikuwa natatua kesi ya binti wa kidato cha III mwenye umri wa miaka 17 aliyeamka usiku wa saa 5 na kumfuata mwanaume mwenye umri wa miaka 23 mtaa wa pili. Huyu binti anaishi na mama wa kambo anayefanya kazi baa. Kwa kawaida, mama hurudi kutoka kazini kuanzia saa 7 usiku. Sasa siku hiyo mama alirudi mapema kabla ya saa 7 akakuta binti ametoka. Arobaini za binti zikawa zimefika.

Huyu binti hulala chumba cha uani, hivyo nafikiri ulikuwa ndiyo mchezo wake wa kila siku. Dada yake aliacha shule akiwa Kidato cha II akaolewa na lofa mmoja asiyekuwa na mbele wala nyuma. Sasa hivi anajishughulisha na uuzaji wa mboga nyumba kwa nyumba. Mdogo wake naye anatamani kuacha shule akaolewe. Hajajifunza chochote kutokana na makosa ya dada yake. Wanawake wa kizazi hiki ni kama nyani, hawajatulia hata kidogo. Hivi nyie mabinti wa kisasa mna nini lakini?

Ndoa imekuwa kama kilele cha mafanikio ya msichana. Huu ukuta unahitaji kubomolewa, hili ni gereza la kuyafunga maono ya msichana. Kuolewa ni maono ya chini kabisa, msichana unaweza kuwa na ndoto kubwa zaidi ya hii; ota ndoto kubwa zaidi.

Ndoa ni jambo jema
Lakini ni muhimu kuyapa umuhimu Yale uliyotumwa kuyafanya duniani pia
 
Acheni dada zetu wazalie nyumbani ..hivi ninani kakuambia hatupendi kumpata wajomba wa kuwatuma bangi!??na sigara
 
Mawazo haya yananitia uchungu sana!!!! Nina binti yangu (now 31 yrs) naona hili jambo linamfanya asianze PhD programme ati kila siku kwenda kusali. Inaniboa saaana ingawa sina la kufanya. Naamini kuolewa kupo na ukiolewa ukiwa na status ndiyo inakuwa bora zaidi au nakosea kama mzazi
My sister Ana masters ila hajaolewa hadi Leo na yupo na 42! Sijui ndio wanaume wanaogopa wasomi?! ..Just thinking
 
FYI ndoa ni one of the greatest achievement kwa mwanamke

Ukiolewa unajiona kama uko na security fulani hivi
1.Hitaji la kwanza kabisa la mwanamke ni AFFECTION(exclusive care)
----AFFECTION inamaana ya kumpenda,kumjali,kumskiliza,kumshauri,n.k
-----affection is more than love.
------kisses,hugs,flowers,gifts,extending common courtesies,showing little daily acts of thoughtfulness and so forth

2.COMMUNICATION.
---wanaume wengi hufikiri a real man is a man who keeps silent.Big NO
---Tenga muda wa kuongea nae,kumskiliza,kumshauri
----Hii itakulipa katika kuimarisha na kutengeneza mahusiano bora zaidi

3.ukweli na uwazi(HONESTY & OPENNESS)
----Unapokuwa wazi kwa mwanamke unazidi kumfanya aone una malengo naye,mapenzi naye ya dhati
-----Na hii inaweza kuwa silaha ya kumuumiza mwanamke,WHY?because a woman interprets openness as LOVE.

4.FINANCIAL SUPPORT
---Kubali/kataa mwanamke anahitaji kuwezeshwa kiuchumi/pesa.ndio maana a woman needs a man who is working and loves to work.
----kwa kipato chochote halali mwanaume anahitaji kuitunza familia yake.

5.FAMILY COMMITTMENT.
---Mwanamke anataka kuona unaitanguliza familia yenu mbele.kama kumpa kipaumbele yeye na watoto(kama mnao)
----anataka kujua na kuona kweli una mipango ya muda mrefu ya kutengeneza familia bora na yeye
 
My sister Ana masters ila hajaolewa hadi Leo na yupo na 42! Sijui ndio wanaume wanaogopa wasomi?! ..Just thinking
Kiwango cha elimu kwa mwanamke haiwezi kuwa kikwazo kwa yeye kuolewa, nimeshuhudia diploma holder akiona mke mwenye masters, nimeona form 4 leaver akaingia mtaani kujiweka sawa kimaisha kama kuoa mke mwenye degree.
 
Kiwango cha elimu kwa mwanamke haiwezi kuwa kikwazo kwa yeye kuolewa, nimeshuhudia diploma holder akiona mke mwenye masters, nimeona form 4 leaver akaingia mtaani kujiweka sawa kimaisha kama kuoa mke mwenye degree.
Hujui wanayopitia mkuu kuna rafiki yangu yeye alisomea mambo ya HIV guiding and counselling akaoa mwanamke amesomea nursing wote wanafanya kazi ile ndoa hata mwaka haikufika kwanza ilikuwa ina migogoro kama ndoa ya miaka 10 mwanamke akikasirika anamwambia jamaa ndio maana ulifeli 4m4 wewe waliachana jamaa akaenda kuchukua darasa la saba kijijini kaweka ndani ni ngumu sana mwanamke aliyesoma au mwenye hela kuwa na heshima kwa mume wake wa ndoa maana huko kwenye ma group ya WhatsApp na kazini wanajazana ujinga tu.
 
Utamsikia akisema ; “ afadhali niolewe niweze kujikwamua na maisha” [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom