Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Tajiri la matajiri fanya buku niunge mbogaMagari ya gharama yako used occasionally, huwa tunalala humu humu kwenye Wajapenga. Mpaka niwe na mtoko special ndio nawasha mtambo special. Maybatch unaenda nayo Tabata ili ugundue nini? Barabara zenyewe mbovu kama za kuzimu
🤣🤣🤣🤣Usimtag huyo ni mpentekoste
Sijui mambo ya nguo yameingiaje hapa.Pambana mkuu pambana sana kama umesha hamisha hii concept mpaka kwenye nguo?? Basi kaz bado boss wangu
Doh salale ,bwana amsimamie🤣🤣🤣🤣Usimtag huyo ni mpentekoste
😊Mimi kwangu ni tofauti navaa nguo za mtoko kushindia ni kawaida yangu.Upo sahihi hata nguo za kushindia ni tofauti na zile za mtoko
USSR
Wacha wee😔😊Mimi kwangu ni tofauti navaa nguo za mtoko kushindia ni kawaida yangu.
Amina🥴Doh salale ,bwana amsimamie
Mapambano makali sana mkuu israel vs iranSijui mambo ya nguo yameingiaje hapa.
Bila Shaka anatunza nguo Za holiday
Tunashukuru ulipona ajali ya juziDoh salale ,bwana amsimamie
Dah usinikumbushe dada inauma sana ,niliumia mno kuona vijana wadogo wanojipambania wakiwa hawawezi hata kuongea Wala kusimama tena wamelala usingizi mzito .Tunashukuru ulipona ajali ya juzi
😭😭😭 Una mke hadi wa zamani? Pole sana mkuuDah usinikumbushe dada inauma sana ,niliumia mno kuona vijana wadogo wanojipambania wakiwa hawawezi hata kuongea Wala kusimama tena wamelala usingizi mzito .
Ila bad enough na mkwe wangu amefariki pia ,mama wa mke wangu wa zamani ni huzuni dada
Acha hizo DoctorTajiri la matajiri fanya buku niunge mboga
😊Ni kawaida tu mkuu. Kuhusu gari naumiliki wachuma chakavu Kama memba mmoja hapo juu alivyo tanabaisha.Wacha wee😔
Dada kwani sijawahi kukusimulia kuwa niliowa lidada limoja la hapo mbalizi ,likaja kunibwaga na watoto likawataifisha ,hivyo namuita mke wa zamani wazungu wanaita Ex _wife .😭😭😭 Una mke hadi wa zamani? Pole sana mkuu
Shukuru unalo hata hilo😊Ni kawaida tu mkuu. Kuhusu gari naumiliki wachuma chakavu Kama memba mmoja hapo juu alivyo tanabaisha.
Kweli mkuu niungie skanka. MwananguAcha hizo Doctor
🤣🤣🤣Sasa mnyakyusa hawezi kubali kuishi umalila aiseeDada kwani sijawahi kukusimulia kuwa niliowa lidada limoja la hapo mbalizi ,likaja kunibwaga na watoto likawataifisha ,hivyo namuita mke wa zamani wazungu wanaita Ex _wife .
Ahsante kwa hayo aisee ,nitafutie mnyakyusa ,wanyiha siwataki tena Wana roho za mauaji kabisa
Mzee wa tamisemi , 😊njoo huku wewe ndio bwana mwaga mapesa Kama MZEE MOMOSE CHEYO.Tajiri la matajiri fanya buku niunge mboga
😂😂😂😂👍👍Mzee wa tamisemi , 😊njoo huku wewe ndio bwana mwaga mapesa Kama MZEE MOMOSE CHEYO.