Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Human wants are unlimited.Shukuru unalo hata hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Human wants are unlimited.Shukuru unalo hata hilo
Mortuary kuna hela mzei hakuna ma anaishi kinyonge amini🤣🤣 labda huko uarabunimkuu kwa hii kazi yangu ya kuosha maiti za mabedui waarabu nitamiliki kweli hizo mandinga au nikaze msuli kupata pesa za uzeeni inatosha? 😄
Hiyo sio shida ,maana mshahara ukitoka tu tunakuwa mjini tunaspend ukiisha tunarudi umalila kusubiri tena utoke tuje mjini hivyo ni Kama tutakuwa tunaishi mjini ila uchumi ukija kukaa vizuri namjengea town nakuwa nakuja kila weekend tunafurahia maisha ,hapo je ?🤣🤣🤣Sasa mnyakyusa hawezi kubali kuishi umalila aisee
Magari kwenye Bible si wale farasi waliokuwa na yesu wakati wanakanyaga zile khanga wale wamama walimtandikia yesuPombe sio dhambi kwenye bible ipo. Ila magari kwenye bible hawajataja. 😀😀
Nasubiri ukija huku nikuachie ndinga ila ttzo leseni tuLeo nimekula.
Sema tu michongo haijakaa ila gari kitu cha muhimu sana wakuu, tena gari kali.
Nipo huku tukuyuWe jamaa upo 😂😂
huku ubaya maiti za mochwari sio kivile waarabu si unajua kiislam fasta wanazika. wateja wangu wengi ni wageni au itokee circumstances fulanifulaniMortuary kuna hela mzei hakuna ma anaishi kinyonge amini🤣🤣 labda huko uarabuni
Maji?? Ama mhimbili wanapiga hela sana pale ma ana nyumba 3 na ndinga safi uturi upo na ugai gai kiunoni pesa za kushenyenta embaliming na kuosha bado udalali wa coffins na sandahuku ubaya maiti za mochwari sio kivile waarabu si unajua kiislam fasta wanazika. wateja wangu wengi ni wageni au itokee circumstances fulanifulani
kuna wateja wa mambo yetu yale waarabu wapuuzi nao
Kuna sweta napigilia nikiwa sokoni ni tofauti na nalopigilia nikienda kuchachukaUpo sahihi hata nguo za kushindia ni tofauti na zile za mtoko
USSR
Dah ivo vyuma aisee, naishiaga kuvitamani tuKuna watu ni wabishi mzee, wanapenda Europe Car huwatoi sababu ya maintenance Cost.
Kuna jamaa ni Transporter akiingia field kufanya patrol ya roli zake anatumia Vw Amarok, vijana wake wa Road Patrol na mafundi wanatumia Ford Ranger zinaendeshwa na fundi yeyote mwenye leseni na gari zina miaka zaidi ya 6.
Waisa walituwakilisha sanaHahaha mna heshima yetu kwa mlilofanya. Asanteni.
Mimi ninachojua kuna nguo za ofisi tuMapambano makali sana mkuu israel vs iran