Msidanganyike na magari yao ya kifahari! Ata Matajiri na Mastar wana “Daily Drivers”!

Msidanganyike na magari yao ya kifahari! Ata Matajiri na Mastar wana “Daily Drivers”!

Nilivyokuwa mdogo, kama miaka 13-14, nilikuwa napenda kusoma vitabu vya baba yangu.

Alikuwa anapenda sana kusoma American business and advice books. Lee Iacocca, Harvey Mackay, Jack Welch, Norman Vincent Peale etc.

Nakumbuka kitabu kimoja cha Harvey Mackay kinaitwa "Swimming With The Sharks Without Being Eaten Alive" alitoa ushauri mmoja wa kunujua magari ya bei rahisi na nyumba za bei kubwa.

Alielezea kuwa magari ni liability, ukilinunua tu lina depreciate, lina ku cost.

Nyumba ni kitu kinacho appreciate.

Nikaushika ushauri huo mpaka leo, nanunua magari ya bei rahisi tu nimetoka kwenye BMW X3, nimeenda kwenye BMW X5.

Sitaki magari ya gharama kubwa kwa kufuata ushauri wa Harvey Mackay ninaoukumbuka tangu siku hizo.
 
Wazungu ndio lifestyles yao unakuja ana 1.4L hii ndio yakulia doria zake za kila siku, utamkuta yuko na 4×4 hii ni kwenda huko rombo msimu wa sikuuu, mara anaenda na familia yake camping bagamoyo nakurud j2, j3 aende kazini.

Hapohapo ana 5.0L, hii chuma siku zote imepakiwa ndani na imefunikwa mwanzo mzisho. Akitoka na hii 5L ujue ni weekend mwezi mara moja. Hapo anaenda restaurant na familia jioni jioni wanatudi nyumbani, au siku wana community zao ndio anatoka nayo, zaidi ya hapo hii gari utakuta imefungiwa garage tuu ...
Watu watajua utani ila ulichosema ni kweli kabisa.

Kuna mmoja alisema yeye ana gari 3, ana Ford F series ya mizunguko kila siku kazini, ana Golf ya track day hii inashinda garage (wanasema for fun) na ana Prius hii wanasaidiana na Ford, anaiacha siku mke akiwa ana misele akiwa hana anaenda nayo kazini.

Wakienda trip wanakodisha campers.
 
Nilivyokuwa mdogo, kama miaka 13-14, nilikuwa napenda kusoma vitabu vya baba yangu.

Alikuwa anapenda sana kusoma American business and advice books. Lee Iacocca, Harvey Mackay, Jack Welch, Norman Vincent Peale etc.

Nakumbuka kitabu kimoja cha Harvey Mackay kinaitwa "Swimming With The Sharks Without Being Eaten Alive" alitoa ushauri mmoja wa kunujua magari ya bei rahisi na nyumba za bei kubwa.

Akielezea kuwa magari ni liability, ukilinunua tu lina depreciate, lina ku cost.

Nyumba ni kitu kinacho appreciate.

Nikaushika ushauri huo mpaka leo, nanunua magari ya bei rahisi tu ninetika kwenye BMW X3, nineenda kwenye BMW X5.

Sitaki magari ya gharama kubwa kwa kufuata ushauri wa Harvey Mackay ninaoukumbuka tangu siku hizo.
Upo sahihi, huu ndio ushauri wa kuufata aisee. Gari leo unanunua Mil 50 baada ya mwaka mteja wa Mil 35 umpati.
 
Iwe Tanzania na Duniani, tumezoea kuona msanii fulani amenunua gari fulani la kifahari.

Magari mengi ya kifahari hayapo practical kwa matumizi ya kila siku.

Sasa hapa ndio daily driver cars zinapoingia, izi za kuendesha kila siku.

Mfano:

Unakuta Diamond Platnumz amenunua Rolls Royce lakini daily yake ni Prado.
View attachment 3114248
Kuna kipindi Masanja alikua na X6, kuna siku tulienda kumfanyia diagnosis alisema daily yake ni Harrier.View attachment 3114247

Daily driver cars nyingi ni reliable, easy na cheap ku-maintain, haileti attention, rafiki kwenye mafuta, nk.

Ndio maana ata nje celebrities wanajua kuna magari ya kuendea kwenye occasions na kuendea supermarket.

View attachment 3114249View attachment 3114250
Ukishajua ilo, itakusaidia. Haina haja ya kununua daily driver kama Juma Jux yeye ana madude tu ya Ulaya.

View attachment 3114251

Au kuna dogo ana range ina number WANAMAN jamani mliomuuzia kueni na huruma.
"Daily Drivers" ndio nini? Kiswahili chake ni nini mkuu?
 
"Daily Drivers" ndio nini? Kiswahili chake ni nini mkuu?
Nimeelezea aya ya tatu.

IMG_0148.jpeg
 
Mtazamo wangu naona ukiwa na magari mawili yaani moja la misele yako ya kilasiku na nyingine Kwaajili ya safari ndefu..hapa utafutahia Sana maisha
RRONDO haelewi hapa. Kuna gari baadhi ya njia huwezi lipeleka. Yeye anaamini unaweza ukawa na gari tatu, eVoque, X5 na Wagon. Hapo inabidi uchomeke Mjapan mmoja.
 
Back
Top Bottom