Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nilivyokuwa mdogo, kama miaka 13-14, nilikuwa napenda kusoma vitabu vya baba yangu.
Alikuwa anapenda sana kusoma American business and advice books. Lee Iacocca, Harvey Mackay, Jack Welch, Norman Vincent Peale etc.
Nakumbuka kitabu kimoja cha Harvey Mackay kinaitwa "Swimming With The Sharks Without Being Eaten Alive" alitoa ushauri mmoja wa kunujua magari ya bei rahisi na nyumba za bei kubwa.
Alielezea kuwa magari ni liability, ukilinunua tu lina depreciate, lina ku cost.
Nyumba ni kitu kinacho appreciate.
Nikaushika ushauri huo mpaka leo, nanunua magari ya bei rahisi tu nimetoka kwenye BMW X3, nimeenda kwenye BMW X5.
Sitaki magari ya gharama kubwa kwa kufuata ushauri wa Harvey Mackay ninaoukumbuka tangu siku hizo.
Alikuwa anapenda sana kusoma American business and advice books. Lee Iacocca, Harvey Mackay, Jack Welch, Norman Vincent Peale etc.
Nakumbuka kitabu kimoja cha Harvey Mackay kinaitwa "Swimming With The Sharks Without Being Eaten Alive" alitoa ushauri mmoja wa kunujua magari ya bei rahisi na nyumba za bei kubwa.
Alielezea kuwa magari ni liability, ukilinunua tu lina depreciate, lina ku cost.
Nyumba ni kitu kinacho appreciate.
Nikaushika ushauri huo mpaka leo, nanunua magari ya bei rahisi tu nimetoka kwenye BMW X3, nimeenda kwenye BMW X5.
Sitaki magari ya gharama kubwa kwa kufuata ushauri wa Harvey Mackay ninaoukumbuka tangu siku hizo.