Mtwara Smart
JF-Expert Member
- Jun 6, 2019
- 666
- 1,492
Sijui Hata Unazungumza Nin Mkuu!???ishafutwa hiyo
Hizi Huwa Zinatolewa Kwa Member Wa AMCOS Kipind Cha Msimu Wa Korosho (September Had December) Gharama 76800/= Kwa Mwaka.Mkuu hii ipoje ili nimkatie mama yangu maana yupo huko nyumbani
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Vifurush Vinatifautiana Kaka.Bima kwa mtu binafsi ni gharama kiasi gani mkuu?
Kwa Bima Kila Kitu Wanagharamia Wao Kuanzia Procedure, Days In Ward Mpaka Dawa Ila Kama Uko Mwaka Wa Pili Kwenye Bima Yao Na Wewe Sio Mfanyakaz Wa Serikali.Hivi docta kuna gharama za kulipia mama mjamzito kwenye operation? Yani akijifungua kwa operation.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sidhani kama yupo AMCOS, ila tuna shamba la mikorosho masasi hivyo hana budi kujiungaHizi Huwa Zinatolewa Kwa Member Wa AMCOS Kipind Cha Msimu Wa Korosho (September Had December) Gharama 76800/= Kwa Mwaka.
Muulize Mama Ako Kama Yupo AMCOS Akaulizie, Kama Hayupo Nitafute Nijue Jinsi Ya Kukusaidia Kumuingiza Huko Apate.
Karibu.
hakuna kitu km hicho, hao maDr wanavuna kwa nguvutu, hiyo kordani ingeshuka tu kwani nyonga haijaziba,Tunaogopeshana sasa, hiyo ya korodani kubaki tumboni sijawahi sikia, ngoja nifike home nimkague mwanangu.
Asante sana mkuu,be blessed.Vifurush Vinatifautiana Kaka.
Kuna Special Na Kuna Binafsi
Special : Mfano: Wakulima Korosho 76800, Toto Afya 50400 Etc
Mtu Binafsi Pia Inategemea Kuna Familia Na Ukubwa Wake Au Mtu Mmoja Mmoja.
Mtu Mmoja:
1. 192000
2. 384000
3. 587000
Karibu
Sawa Jitahid Mwez Wa 10 Umuingize Apate Bima Ni Muhimu Sana Haswa Kwa Umri WakeSidhani kama yupo AMCOS, ila tuna shamba la mikorosho masasi hivyo hana budi kujiunga
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
hakuna kitu km hicho, hao maDr wanavuna kwa nguvutu, hiyo kordani ingeshuka tu kwani nyonga haijaziba,
Mimi niliwakatia BIMA hiyo wanangu wawili na mke wangu, mwaka ulikatika na hawakumaliza hata hiyo 50,400 kwa mmoja
Yaani mmoja alikutwa na minyoo ya Tapeworm inatoka kabisa sehemu ya choo, wale maDr wa BIMA wakipima hawaoni, ingawa specimen tunawaletea, wananiandikia dawa ya kutafuna.
Nilipohamia viDispensary vya mtaani walimtibu na akapona, naona ni ujana wa wale maDr wa BIMA ni bijana na viComputer vyao
Tusidharau Madr wengine maana huku kijijini Jando wanaenda porini bila ganzi na wanadunda
zipo NYUZI nyingi za NHIF zikiwalaumu yaani ni huu tu unawasifiaKwa upande wako unaonaje BIMA ni muhimu au tuachane nayo?
Ile bima ya watoto ya mwaka sasa hivi tunaambiwa ukimkatia mtoto, mpaka baada ya miezi mitatu ndio ataanza kupata huduma. Sasa miezi mitatu kwa mtoto si ni kama 3 yrs kabisa jamani. Anaweza kuwa kaugua mara kibao. Mwanzo ilikuwa siku 21, sasa hivi 90 duu! Hili waliangalie kwa kweli.
Anatumia bima gan?Ningependa nami niwakatie wazazi wanguMi Kuna mtu wangu wa karibu nasumbuliwa na maumivu ya mgongo mwaka wa pili huu kila wiki anaenda clinic Mara mbili na kila hitaji la muhimu anapewa bure hudma nzuri gharama zake kanipigia hesabu inakaribia 7M tangu alipaoanza lakin hajatoa hata shilingi mia ni bima tu inamsaidia dah