Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Thnxs mkuu.Mtu mzima ngoja ntakupa majibu,ngoja niulize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thnxs mkuu.Mtu mzima ngoja ntakupa majibu,ngoja niulize
Duh, pole mm wangu analo tatzo kama hilo alilazwa BOCHI siku 2, hakuna hata kimoja nilicholipia au inategemea na bimaSio kweli kuwa kila ugonjwa hutibiwa bure kwa BIMA yako.
Mimi mwanangu anaumwa pumu kila ikimpanda nikienda hospital kuna baadhi ya huduma naambiwa hazipo kwenye BIMA hivyo inanilazimu kutoa pesa mfukoni.
Na hizi ni gharama kwa mwaka si ndio mkuu?Vipo vya aina 3
1.192,000
2.384,000
3.587,000
Hizo ndio gharama za bima za MTU mzima mkuu NHIF
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hebu JAmani fikirieni kipindi hiki umpeleke mtoto hospital halafu uambiwe ili tatzo lake liondoke inahtajika mil.3 na upuuzi wake kama sio kutaftiana kuhara ni nini?
Jamani nimetokea kuheshimu BIMA aseee nawasisitiza BIMA jamani,unaweza kwenda hospital ukfkiri unaumwa JINO daktari anakucheki anakwambia MDOMO mzima meno ni ya kureplace hahaha inahtajika 7Mil otherwise mapengo yanakuja very soooon.
Asante sana mkuu, zamani nilikua Jubilee Insurance kabla sijatoka kwny ajira kwenda kupambana mtaani.Ndio mkuu kifurushi utakachochagua hapo gharama yake n kwa mwaka
Jubileee unatibiwa baadhi ya hospital tu sio hospital zote wanapokea wanachama wa jubilee.Asante sana mkuu, zamani nilikua Jubilee Insurance kabla sijatoka kwny ajira kwenda kupambana mtaani.
Nitaenda kuwaona NHIF.
Ntazingatia ushauri wako,thnxs mkuu.Jubileee unatibiwa baadhi ya hospital tu sio hospital zote wanapokea wanachama wa jubilee.
Kama mtu uko serious na afya yako na hutaki mbwembwe nyingi,NHIF yako inakutosha kabisa kabisa.
Mkuu hii ipoje ili nimkatie mama yangu maana yupo huko nyumbaniHapana Tatizo Sio Gharama Ila Ubishi
Huku Kwetu Tuna Bima Ya Wakulima Wa Korosho Ni 76800 Haijalishi Umri Wako, Ni NHIF Pure.
Bado Watu Hawatak Kukata.
Kusini Ni Kugumu Tu.
Hapa mkuu umejibu maswali yote ya wadau hapo juu..VIFURUSHI VYA BIMA YA AFYAView attachment 1697526View attachment 1697527
washindwe wenyewe..Hapa mkuu umejibu maswali yote ya wadau hapo juu..
Sorry mkuu hii bima ni NHIF au..??Mada nzuri, ila namsahihisha mleta mada. Gharama ya toto Afya ni Tsh 50,400/= kwa mwaka
Sikuiz bima 194,000 per person ,achana na hbr za 54,000/-... Nina mapacha under 1 year..Sijui niseme nini kwa wale wazazi mlio na watoto wa chini ya 18yrs na hamjawakatia BIMA bei ya bima ya mtoto ni 54,000 tu kwa mwaka mzima,mtoto anatibiwa kwa BIMA ugonjwa wowote utakaokatiza mbele yake.
Kwann nasema hivi, nina mwanangu wa kiume umri wake wa kwenda mfanyia circumsission/kumtahiri (3yrs) ukawadia nikajisemea ngoja nimpeleke mwanangu akafanyiwe kitu nijue akishapona basi nimuanzishe shule akacheze cheze huko.
Basi nikafika hospital daktari akahtaji muona mtoto na kuona uume wa mtoto,akamshika kisha akawa ana mminya minya kwenye korodani,Nikashangaa sana daktari ananiambia "mbona mtoto ana korodani 1?"
nikatoa macho! akasema hatuwezi mtahiri mtoto akiwa na korodani 1 n lazima tuishushe maaana itakua imebaki tumboni haijashuka, na ikishndkana basi tuitoe kabisa maana kuicha ndani n hatari sana kwa mtoto kwa huko mbeleni.
Basi tukaambiwa tulazwe,nikalazwa na mwanangu Mtoto akaja akafanyiwa operation korodani ikashushwa kisha akatahriwa...
Baada kama ya wiki nzima kuspend hospital,ukafka muda turuhusiwe sasa tukajiuguze nyumbani tuwe tunarudi clinic tu kwa ajili ya kuangaliwa maendeleo ya vidonda vya mtoto.
Nikapewa discharge form na maform mengine mengine,kwakua kote huko BIMA ilikua inafanya yake,mimi nilikua na deal na malipo ya MSOSI TU.
My dear form ya gharama ikaonyesha total charges zote ni 3,210,000 Tsh yaani Milioni 3 na laki mbili na ishirini na moja.
Hebu JAmani fikirieni kipindi hiki umpeleke mtoto hospital halafu uambiwe ili tatzo lake liondoke inahtajika mil.3 na upuuzi wake kama sio kutaftiana kuhara ni nini?
Jamani nimetokea kuheshimu BIMA aseee nawasisitiza BIMA jamani,unaweza kwenda hospital ukfkiri unaumwa JINO daktari anakucheki anakwambia MDOMO mzima meno ni ya kureplace hahaha inahtajika 7Mil otherwise mapengo yanakuja very soooon.
Kuna.magonjwa mengi sana wapendwa tusiyoyajua hii dunia,kama hii ya korodani kubaki tumboni ndio kwanzaaaaaaa limekua brand new maskioni mwangu.
Anyway Narudia tena kuwasisitiza BIMA jamani kwa mnaoweza msipuzeeee msipuuzeee.
Asikiae na Asikie.
mtahiri mtoto mapema mkuu,sio lazima afike mi 3 kama wangu..
huyu wangu mwenyewe n mambo yaliingiliana tu ila nilitaka mtahiri tangu akiwa na 2yrs..
Wanakwepa majukumu yao mengi tu ila wana matumizi makubwa sana ya fedha kwenye kujilipa na kununua mashangingiHili naloo neno,Kama kipimo tu Cha kuangalia gono au kashwende wametoa iwejeee wawezee kuweka operation