Msidharau BIMA za watoto wapendwa, ni muhimu sana kwa watoto zetu

Msidharau BIMA za watoto wapendwa, ni muhimu sana kwa watoto zetu

kuna bima ya afya iliyoboreshwa kifupi CHF. hii ni 30,000/= kwa mwaka kwa watu 6. Unatibiwa zahanati na hospitali ya wilaya. Tushindwe kukata hata hii??
 
Tunaogopeshana sasa, hiyo ya korodani kubaki tumboni sijawahi sikia, ngoja nifike home nimkague mwanangu.
mkuu mimi.nilishangaa zaidi yako,korodani zinaweza kugoma hata kushuka zote Japo hii case sio sana ila kwa korodani 1 inauwezo kbsa kubaki ndani.

Na watu wazima wengi wapo wenye tatzo la korodani kubaki tumbon ila kwakua wanajiona wazima wapo wanatembea wana dunda,mziki utakuja huko mbeleni SARATANI itakapokuja.

Maana daktari anasema ina uwezo wa sababsha saratani mbeleni ambapo tiba yake ni kizitoa zote mbili,hii maana yake nini ukshatolewa zote mbili...JIBU TUNALO.
 
kuna bima ya afya iliyoboreshwa kifupi CHF. hii ni 30,000/= kwa mwaka kwa watu 6. Unatibiwa zahanati na hospitali ya wilaya. Tushindwe kukata hata hii??
Haitushindi mkuuu,BIMA sasa ni jambo langu namba 1 maishani mwangu..Umaskini wangu usiwe sababu ya kuteseka kwa matatzo ninayoweza yaepuka.
 
Bima wanashindwa kulipia ampicloxy tu wanasema haipo kwenye mpango wa bima hiyo ya kushusha korodani wataiweza?
inategemea ulikata bima gani mkuu,si kila bima ina tibu magonjwa yote na kupata dawa zote

BIMA zipo kwa makundi mkuu
 
Umenielemisha tumkatie dogo apa home
Mkatie mkuu hata asipoumwa usije kata tamaa,wewe lipia tu Hupungukiwi na kitu.

siku 1 utaona faida ya hiyo bima,,Afya zetu ni gharama sana mkuu ni gharama mnooo.
 
kuna bima ya afya iliyoboreshwa kifupi CHF. hii ni 30,000/= kwa mwaka kwa watu 6. Unatibiwa zahanati na hospitali ya wilaya. Tushindwe kukata hata hii??
Hii sio bima ya afya

Ni bima ya SISIEMU ya ovyoo Sana.
 
Mi nashauri tutafute pesa tuwe kama bakhresa.Pesa ndio kila kitu duniani.
 
Sio kweli kuwa kila ugonjwa hutibiwa bure kwa BIMA yako.
Mimi mwanangu anaumwa pumu kila ikimpanda nikienda hospital kuna baadhi ya huduma naambiwa hazipo kwenye BIMA hivyo inanilazimu kutoa pesa mfukoni.
 
inategemea ulikata bima gani mkuu,si kila bima ina tibu magonjwa yote na kupata dawa zote

BIMA zipo kwa makundi mkuu
pia level ya kituo cha huduma,mfano hiyo ampiclox bima (NHIF) hailipi kwa zahanati hata kama aliyeprescribe ni specialist
 
mkuu mimi.nilishangaa zaidi yako,korodani zinaweza kugoma hata kushuka zote Japo hii case sio sana ila kwa korodani 1 inauwezo kbsa kubaki ndani.

Na watu wazima wengi wapo wenye tatzo la korodani kubaki tumbon ila kwakua wanajiona wazima wapo wanatembea wana dunda,mziki utakuja huko mbeleni SARATANI itakapokuja.

Maana daktari anasema ina uwezo wa sababsha saratani mbeleni ambapo tiba yake ni kizitoa zote mbili,hii maana yake nini ukshatolewa zote mbili...JIBU TUNALO.

Dah nashukuru Mwanangu anazo zote mbili. [emoji120] kafikisha miaka 2.5 naruhusiwa kumtahiri au mpaka afikishe miaka 3?
 
kuna bima ya afya iliyoboreshwa kifupi CHF. hii ni 30,000/= kwa mwaka kwa watu 6. Unatibiwa zahanati na hospitali ya wilaya. Tushindwe kukata hata hii??
CHF tatizo lake ni Bima ya eneo moja tu.
 
Back
Top Bottom