Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kweli kabisaHujakosea mkuu kama mimi hii n baada ya kukutana na malipo ya 3M aisee sina namna ambayo ningeweza ipata hii 3m kwa namna yyte ile ndio mana nasema BIMA na iheshimiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaHujakosea mkuu kama mimi hii n baada ya kukutana na malipo ya 3M aisee sina namna ambayo ningeweza ipata hii 3m kwa namna yyte ile ndio mana nasema BIMA na iheshimiwe.
mtahiri mtoto mapema mkuu,sio lazima afike mi 3 kama wangu..Dah nashukuru Mwanangu anazo zote mbili. [emoji120] kafikisha miaka 2.5 naruhusiwa kumtahiri au mpaka afikishe miaka 3?
Mnatahiri watoto bado wadogo wakiwa vibamia je?mtahiri mtoto mapema mkuu,sio lazima afike mi 3 kama wangu..
huyu wangu mwenyewe n mambo yaliingiliana tu ila nilitaka mtahiri tangu akiwa na 2yrs..
Ni hawajui tu madhara yake ila usiache waambia ili siku yakiwakuta wakukumbuke.Hapana Tatizo Sio Gharama Ila Ubishi
Huku Kwetu Tuna Bima Ya Wakulima Wa Korosho Ni 76800 Haijalishi Umri Wako, Ni NHIF Pure.
Bado Watu Hawatak Kukata.
Kusini Ni Kugumu Tu.
BIMA TANZANIA hiii ni NHIF tu,ndio ya uhakika Hizi zingine unaweza ukawa nayo halafu hospitali iliyokaribu yako HAWAIPOKEI.CHF tatizo lake ni Bima ya eneo moja tu.
Hili naloo neno,Kama kipimo tu Cha kuangalia gono au kashwende wametoa iwejeee wawezee kuweka operationBima wanashindwa kulipia ampicloxy tu wanasema haipo kwenye mpango wa bima hiyo ya kushusha korodani wataiweza?
unaambiwa hivyo kwasababu BIMA yako ndio ilipoishia,BIMA zina madaraja mkuu Tunapoongelea BIMA ni sawa na ma bus kunaSio kweli kuwa kila ugonjwa hutibiwa bure kwa BIMA yako.
Mimi mwanangu anaumwa pumu kila ikimpanda nikienda hospital kuna baadhi ya huduma naambiwa hazipo kwenye BIMA hivyo inanilazimu kutoa pesa mfukoni.
Na gharama za mtu mzima ni kiasi gani mkuu?yaani kwa mtu mwenye shughuli zake na sio mwajiriwa(kukatwa kwny mshahara).Mada nzuri, ila namsahihisha mleta mada. Gharama ya toto Afya ni Tsh 50,400/= kwa mwaka
Samahani mkuu kama uko na uzoefu wa hili jambo ni bima gani iliyo bora hasa kwa kijana kama mimi mbangaizaji? Asanteinategemea ulikata bima gani mkuu,si kila bima ina tibu magonjwa yote na kupata dawa zote
BIMA zipo kwa makundi mkuu
Mkuu hapa kaongelea bima ya 54000,achana na bima kubwa Kama ya AARBIMA zina madaraja
Bima kwa mtu binafsi ni gharama kiasi gani mkuu?Kila Mgonjwa Anayefika Chumba Changu Cha Daktari Huwa Namshauri Hili, Wengi Wanaelewa Ila Wengine Ni Wabishi Sana. Asante Mkuu