Of course, unataka sourxe iwe ipi?Source uhondo TV 📺 🤣🤣
Mijadala ni kuvumilianaNashaur wana jf wote tumu ignore uyu mtu mim naanza
Unahamasisha JINAI we bibi?Safi sana.
Wenye chuki wajinyonge.
Kwa huu uandishi leo utakuwa umelewa ulanzi bimkubwaOf course, unataka sourxe iwe ipi?
Wewe sikiliza upinge kinachosemwa.
Wewe bibi naomba ramani ya kuwa chawa wa DP WORLD..Safi sana.
Wenye chuki wajinyonge.
Sema kifungu kipi cha mkataba unachokiongelea?watu wanataka mjadala uwe kwenye terms ya kilichosainiwa sio vinginevyo
iwe karatasi la kufungia vitumbua au chochote kile
watu wakihoji terms wanajibiwa Nchi zingine wanazofanya kazi DP World
tukihoji terms wengine wanatoa takwimu za ajira zitakazoongezeka wengine wanajadili ufanisi
Toeni ufafanuzi wa terms zinazotia wasiwasi
Mtu anahoji kipengele cha muda wa .mkataba jitu zima linakutajia muda wa kushusha kontena au muda wa meli kusubiri kushusha mzigo
Ukomo ni Bahari itakapokauka Wana wa Israel wavukeWamekodisha bila kikomo, hiyo ni tafsiri sahihi ya kuuza
Malipo ya wasaliti yanajulikana duniani kote.Huyo msigwa na faizafoxy wanatumiwa kuwahujumu watanzania na rasilimali zao
🤣🤣🤣🤣🤣Msemaji wa Serikali mh Msigwa amesema Bandari ilikuwa inaingiza faida ya takribani tsh 120 bilioni tu na TICTS Ilikuwa inaingiza tsh 300 bilioni tu na Bandari ina Magati 12
Msigwa amesema Bandari haijauzwa na haitauzwa kwa sababu sheria za Nchi haziruhusu
Msigwa amesisitiza Bandari lazima ikodishwe Ili kuongeza Ufanisi kwani mwekezaji atatuwezesha kupata tsh 27 trillion pa
Source: Habari Digital
Msemaji wa Serikali mh Msigwa amesema Bandari ilikuwa inaingiza faida ya takribani tsh 120 bilioni tu na TICTS Ilikuwa inaingiza tsh 300 bilioni tu na Bandari ina Magati 12
Msigwa amesema Bandari haijauzwa na haitauzwa kwa sababu sheria za Nchi haziruhusu
Msigwa amesisitiza Bandari lazima ikodishwe Ili kuongeza Ufanisi kwani mwekezaji atatuwezesha kupata tsh 27 trillion pa
Source: Habari Digital
Binafsi katika sakata hili sijachagua upande but soon Nadhani nitajua upande sahihi ni upi na kwa "Sababu zangu nzuri " zipi nimechagua huo upande.watu wanataka mjadala uwe kwenye terms ya kilichosainiwa sio vinginevyo
iwe karatasi la kufungia vitumbua au chochote kile
watu wakihoji terms wanajibiwa Nchi zingine wanazofanya kazi DP World
tukihoji terms wengine wanatoa takwimu za ajira zitakazoongezeka wengine wanajadili ufanisi
Toeni ufafanuzi wa terms zinazotia wasiwasi
Mtu anahoji kipengele cha muda wa .mkataba jitu zima linakutajia muda wa kushusha kontena au muda wa meli kusubiri kushusha mzigo
Lione! ... sourxce... ndio nini jitu zima halijui hata kuandika kwa ufasaha! BoyaOf course, unataka sourxe iwe ipi?
Wewe sikiliza upinge kinachosemwa.
Mjinga alikuwa Tibaijuka kwenda wasafi TV...yeye hajui serious media zilipo? Ohh alikuwa anataka kuwa target hao wajinga wasio hoji lolotewatu wanataka mjadala uwe kwenye terms ya kilichosainiwa sio vinginevyo
iwe karatasi la kufungia vitumbua au chochote kile
watu wakihoji terms wanajibiwa Nchi zingine wanazofanya kazi DP World
tukihoji terms wengine wanatoa takwimu za ajira zitakazoongezeka wengine wanajadili ufanisi
Toeni ufafanuzi wa terms zinazotia wasiwasi
Mtu anahoji kipengele cha muda wa .mkataba jitu zima linakutajia muda wa kushusha kontena au muda wa meli kusubiri kushusha mzigo
Watu tunahoji terms mtu anasimama Bungeni kujibu anazungumzia faida za umoja wa kitaifa heee
Ukiuliza kwanini hakuna kipengele cha kuvunja mkataba mtu anakujibu Bandarini mifumo haisomani kwa hiyo ufanisi mdogo
Mimi: Kwanini Tender ya kuendesha bandari haikushindanishwa kwa wote wenye uwezo?
Chawa: Wafanyakazi wa sasa wa TPA wataendelea na Ajira zao
Mimi: Kwanini mkataba huu hauhusishi Znz?
Chawa: Tusitumie uhuru vibaya kwa kumvunjia heshma Mama
Prof Tibaijuka ana challenge kwanini Mkataba hauvunjiki Mtangazaji wa Wasafi anatolea mfano wa Mkataba wa Yanga na Faisal Salumi Fei toto …Mama Tibaijuka alishangaa sana Mwandishi kutolea mfano wa kijinga kama ule kwny jambo serious
Mkataba unakuwa haramu kwa kuwa kipengele unakuwaBinafsi katika sakata hili sijachagua upande but soon Nadhani nitajua upande sahihi ni upi na kwa "Sababu zangu nzuri " zipi nimechagua huo upande.
Lakini Mimi nataka kufaham kitu kimoja(let assume am kindergarten I know nothing )
So Madhara yatakua Ni yapi hasa kwetu watanzania endapo hakuna ukomo wa mkataba huo(Makubaliano ya uendeshaji bandari )
Machawa siyo kwamba hawajui, wanafanya makusudi.watu wanataka mjadala uwe kwenye terms ya kilichosainiwa sio vinginevyo
iwe karatasi la kufungia vitumbua au chochote kile
watu wakihoji terms wanajibiwa Nchi zingine wanazofanya kazi DP World
tukihoji terms wengine wanatoa takwimu za ajira zitakazoongezeka wengine wanajadili ufanisi
Toeni ufafanuzi wa terms zinazotia wasiwasi
Mtu anahoji kipengele cha muda wa .mkataba jitu zima linakutajia muda wa kushusha kontena au muda wa meli kusubiri kushusha mzigo
Watu tunahoji terms mtu anasimama Bungeni kujibu anazungumzia faida za umoja wa kitaifa heee
Ukiuliza kwanini hakuna kipengele cha kuvunja mkataba mtu anakujibu Bandarini mifumo haisomani kwa hiyo ufanisi mdogo
Mimi: Kwanini Tender ya kuendesha bandari haikushindanishwa kwa wote wenye uwezo?
Chawa: Wafanyakazi wa sasa wa TPA wataendelea na Ajira zao
Mimi: Kwanini mkataba huu hauhusishi Znz?
Chawa: Tusitumie uhuru vibaya kwa kumvunjia heshma Mama
Prof Tibaijuka ana challenge kwanini Mkataba hauvunjiki Mtangazaji wa Wasafi anatolea mfano wa Mkataba wa Yanga na Faisal Salumi Fei toto …Mama Tibaijuka alishangaa sana Mwandishi kutolea mfano wa kijinga kama ule kwny jambo serious