All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,215
- 1,401
Kuwepo na uwazi Tu kama wanauzwa tujue tufurahi pamojaMwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Mlamba asaliMwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Taahira katika ubora wakoMwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
🤣🤣🤣🤣Cha ajabu badala ya kutoa evidence wataanza kumshambulia Msigwa
Na huo ndio ukweli !!Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Kwahiyo tumuamini nani mkuu?Sa Msigwa mlamba asali kutetea kila kitu cha serikalu utamuamini kweli?!
Hilo huwaga ni lijinga punguwani hakuna mfano halafu ndio ukute ni baba wa familia shenzy kabisa.Wakati mwingine ficha ujinga wako kwa kukaa kimya
Hana akili bwege huyo achana naye.Ujinga wako ndio mtaji wa kuishi na mkeo!
Weka ushahidi...Amewekwa mfukoni na kinana baada ya kutishiwa kufungwa au kulipa bilion kadhaa
Huna akili wanyama wakichukuliwa hatima yake ni nini ? Watalii hawatakuja wataishia hukoMwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
🤣🤣🤣🤣
Yaani kuna wakati unajisemea kama humu ndo kuna wasomi wanaojinadi kupiga alama 'A' katika kila somo walilogusa....kutoka o'level hadi advance na kwamba wana exposure ya kutosha tu LAKINI kikubwa walichonacho ni utajiri huu mkubwa wa chuki na uzushi kwa Mama Samia ( unaochochewa na udini, bila shaka), basi kazi ipo nchi hii!
Hiyo ndio hoja. Kuna uamuzi ulishawekwa hatuuzi wanyama hai. Sasa wanaposafirishwa kinyemela ndio issue. Huko uarabuni siku hizi cheetah simba chui ndio matajiri wanawafuga kama pets.Kuwepo na uwazi Tu kama wanauzwa tujue tufurahi pamoja
ufurahi pamoja na nani wewe kiumbe?Kuwepo na uwazi Tu kama wanauzwa tujue tufurahi pamoja
Huyu jamaa ni miongoni mwa watu duni waliobahatika kupata majukumu makubwaNimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Weka ushahidi acha kabobo Kama shangingiAmewekwa mfukoni na kinana baada ya kutishiwa kufungwa au kulipa bilion kadhaa
Utadhani wewe mtu wa maana vile kiasi Cha kuweza kupima watu!!Huyu jamaa ni miongoni mwa watu duni waliobahatika kupata majukumu makubwa
Weka ushahidi wewe uaminikeSa Msigwa mlamba asali kutetea kila kitu cha serikalu utamuamini kweli?!
Yaani umeshasahau Makampuni mwenyekiti yuko kazini anachapa kazi. Unadhani alioweka nafasi hiyo bure! Anao utaalamu.Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Hao wanyama anawazeesha bibi yako kishirikina?Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini