Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Wabongo tuna matatizo makubwa mkuu. Tunaongea na kujadili kile tusicho na ufahamu nacho.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kuna wakati unajisemea kama humu ndo kuna wasomi wanaojinadi kupiga alama 'A' katika kila somo walilogusa....kutoka o'level hadi advance na kwamba wana exposure ya kutosha tu LAKINI kikubwa walichonacho ni utajiri huu mkubwa wa chuki na uzushi kwa Mama Samia ( unaochochewa na udini, bila shaka), basi kazi ipo nchi hii!
Utafiti umeufanyia wapi au ni hisia zako tu?.
 
Bora wewe umeongea ukweli..
Chuki ya kidini Kwa Samia iko kubwa Sana....na ukiwaambia hiko kinacho wasumbua ni chuki ya dini watakushambulia kama wamemwagiwa pilipili
Kuna utafiti umeufanya au unaropoka tu.achana na tabia zakusema mambo kwamihemko na hisia zako ukazijumlisha kwa watu.
 
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
#gersonmsigwa Ile zuu ya Dubai wamepatia wapi wanyama na wakaweka majinA yakwetu .
Hiyo inaonyesha approciation ya sisi kujitolea wanyama
 
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.

Ushahidi apewe ili aufanyie nini, kwani yule mtu aliyekamatwa akiwa amejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini hadi waziri mkuu akaunda tume, ni hatua gani wamemchukulia?
 
Ushahidi apewe ili aufanyie nini, kwani yule mtu aliyekamatwa akiwa amejiunganishia bomba la mafuta hapa mjini hadi waziri mkuu akaunda tume, ni hatua gani wamemchukulia?
Toa ushahidi vinginevio majungu
 
Msigwa; watazania sio mambumbu asilani! Tunajua huwezi kusema ilibeba wanyama kwani ni hatari kwako!
yana mwisho kwa wahusika!
Amemwambia tuo ushahidi kapicha tu tena madogo kanako onysha ndege ikipakia twiga
 
Kuna utafiti umeufanya au unaropoka tu.achana na tabia zakusema mambo kwamihemko na hisia zako ukazijumlisha kwa watu.
Alie onana ndege ikipakia twiga alete ushahidi, sio kuongea kama malaya alie nyimwa gongo
 
Kama pesa inaingia kwenye mfuko wa serikali Kwa nn wasiweke wazi kama issue just ni kuuza?
Wewe umewahi kuona wanyama wakipanda ndege? Weka picha hapa ila isiwe ya photo shop
 
Na wewe nakumbuka ulikuwa bingwa wa kumpinga Magufuli!!

Majizi mna sifa moja kuu ya kuchukia wazalendo.
Magufuli nitampinga sana tu, alikuwa anatuharibia nchi. Ni bora alikufa tu la sivyo tungekuwa kama Yemen au Zimbabwe kiuchumi. Nyie misukule mnaomuona eti mzalendo endeleni kimuabudu.
 
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Kwa nchi ambayo mpaka vyombo vya dola vinabariki matendo ya hovyo na wizi wa rasilimali, siyo busara kupeleka ushahidi kwa sababu ushahidi wako ndilo kaburi lako.

Tukusanye ushahidi kisha tuwapatie wananchi wenzetu ili wakaupeleke kwenye sanduku la kura muda utakapofikia....
 
Hata vichaa wanajuwa kutamka maneno hayo mawili ya stupid nonsense! Waweza kuwa kichaa pia

Naomba ujibu hoja zangu za kuuza wanyama
Dubai wanatengeneza Safari park lengo lao wakamate watalii wote ....ukienda Dubai iwe one stop centre ya aina zote za utalii.....wakifanikisha hili mtalii gani atakuja kumwona Simba Tanzania wakati akienda Dubai kuna safari park!
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Bhasi na pembe za ndovuuu iwe ruhusaa kuuza..tembo wauliwee maana watakufaa tu.
 
Back
Top Bottom