FURUSHI LA CHANJO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 874
- 1,080
Na wewe nakumbuka ulikuwa bingwa wa kumpinga Magufuli!!Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Majizi mna sifa moja kuu ya kuchukia wazalendo.