My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Kubalance ecosystem mbuganiMjinga hufundishwa Ila mpumbavu hafundishiki. Nakusihi jibu hoja yangu kuliko kuni ambia nikae kimya. Na hivi ndivyo Great Thinkers walivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubalance ecosystem mbuganiMjinga hufundishwa Ila mpumbavu hafundishiki. Nakusihi jibu hoja yangu kuliko kuni ambia nikae kimya. Na hivi ndivyo Great Thinkers walivyo
Wewe hata Zoo ya Kigamboni tu hujawahi kufika, huna unachojua. Mnyama unayemjua ni paka na mbwa wa nyumbani kwa wazazi wakoHao wanyama anawazeesha bibi yako kishirikina?
Miandiko ya namna hii ina walakini!?Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Umeandika madini sana, ila wenye chuki na Roho mbaya hawataelewa,Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.
Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Na wakiachwa wazeeke na wafe ndio watakuja?Huna akili wanyama wakichukuliwa hatima yake ni nini ? Watalii hawatakuja wataishia huko
Kwasababu leo umebahatika kukutana na mjinga mwenzio ukitembea barabarani, ndio unalazimisha kila mmoja afikirie kama nyie, narudia tena kukwambia, usitumie ujinga uliopo kichwani kwako kuhukumu wengine..Bora wewe umeongea ukweli..
Chuki ya kidini Kwa Samia iko kubwa Sana....na ukiwaambia hiko kinacho wasumbua ni chuki ya dini watakushambulia kama wamemwagiwa pilipili
Wewe ndo uliyedai imepakia wanyama kwa hiyo wewe ndo unayetakiwa kuleta ushahidi sio msigwa. Hizo stress zenu na chuki zenu zitawaua kuna shida gani kuleta huo ushahidi wa hao wanyama kupakiwa kwenye ndege?Narudia tena kukwambia, usitumie ujinga uliopo kichwani kwako kuhukumu wengine..
Yeye Msigwa kama anasema hiyo ndege ilishusha watalii kwanini asituoneshe huo ushahidi wake? kwanini hiyo ndege ifanye mambo yake kwa siri? wanaficha nini?
Kwako Msigwa kusema tu ndege ilishusha watalii ndio umeridhika, tena bila hata kuwaona hao watalii wenyewe, una mahaba ya kijinga sana yanayochochewa na dini.
Tuna wasiwasi kwasababu safari ya kwa mjomba iliyofanywa Uarabuni karibuni ndio imezaa haya yote, ndipo wamasai wakaanza kusumbuliwa, na hapa hakuna udini, ni fact, wacha kufikiria kama mjinga.
Wewe ndo uliyedai imepakia wanyama kwa hiyo wewe ndo unayetakiwa kuleta ushahidi sio msigwa. Hizo stress zenu na chuki zenu zitawaua kuna shida gani kuleta huo ushahidi wa hao wanyama kupakiwa kwenye ndege?
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.
Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.
Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Walakini gani? Dadavua pleaseMiandiko ya namna hii ina walakini!?
Utakuwa kwenye mkondo wa wanufaika. Manake povu ulilotoa sio la kitotoWalakini gani? Dadavua please
Wote wananiita MJINGA. Nami nawaambia MJINGA hufundishika, basi nifundisheni nione madhara ya kuuza wanyama, hawarudi!!Umeandika madini sana, ila wenye chuki na
Roho mbaya hawataelewa,
Well done mkuu
Big up
Wanaambiwa leteni ushahidi wanaanza kuimba taarab😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Kama pesa inaingia kwenye mfuko wa serikali Kwa nn wasiweke wazi kama issue just ni kuuza?Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?
SawaWewe hata Zoo ya Kigamboni tu hujawahi kufika, huna unachojua. Mnyama unayemjua ni paka na mbwa wa nyumbani kwa wazazi wako
Ujibiwe kwa hoja ikiwa hujaandika hojaMjinga hufundishwa Ila mpumbavu hafundishiki. Nakusihi jibu hoja yangu kuliko kuni ambia nikae kimya. Na hivi ndivyo Great Thinkers walivyo
😂😂😂😂Hao wanyama anawazeesha bibi yako kishirikina?