Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Kuwepo na uwazi Tu kama wanauzwa tujue tufurahi pamoja
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Mlamba asali
 
Hata vichaa wanajuwa kutamka maneno hayo mawili ya stupid nonsense! Waweza kuwa kichaa pia

Naomba ujibu hoja zangu za kuuza wanyama
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Taahira katika ubora wako
 
Cha ajabu badala ya kutoa evidence wataanza kumshambulia Msigwa
🤣🤣🤣🤣
Yaani kuna wakati unajisemea kama humu ndo kuna wasomi wanaojinadi kupiga alama 'A' katika kila somo walilogusa....kutoka o'level hadi advance na kwamba wana exposure ya kutosha tu LAKINI kikubwa walichonacho ni utajiri huu mkubwa wa chuki na uzushi kwa Mama Samia ( unaochochewa na udini, bila shaka), basi kazi ipo nchi hii!
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Na huo ndio ukweli !!
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Huna akili wanyama wakichukuliwa hatima yake ni nini ? Watalii hawatakuja wataishia huko
 
🤣🤣🤣🤣
Yaani kuna wakati unajisemea kama humu ndo kuna wasomi wanaojinadi kupiga alama 'A' katika kila somo walilogusa....kutoka o'level hadi advance na kwamba wana exposure ya kutosha tu LAKINI kikubwa walichonacho ni utajiri huu mkubwa wa chuki na uzushi kwa Mama Samia ( unaochochewa na udini, bila shaka), basi kazi ipo nchi hii!

Bora wewe umeongea ukweli..
Chuki ya kidini Kwa Samia iko kubwa Sana....na ukiwaambia hiko kinacho wasumbua ni chuki ya dini watakushambulia kama wamemwagiwa pilipili
 
Kuwepo na uwazi Tu kama wanauzwa tujue tufurahi pamoja
Hiyo ndio hoja. Kuna uamuzi ulishawekwa hatuuzi wanyama hai. Sasa wanaposafirishwa kinyemela ndio issue. Huko uarabuni siku hizi cheetah simba chui ndio matajiri wanawafuga kama pets.

Je wanatokaje huku kwetu? Na kama wanauziwa ni kwa bei gani.

Pia kulikua na hofu hiyo trend ya kuuza wanyama hai inaweza kusababisha vurugu kwenye hifadhi na magendo kwenye kuwakamata wanyama.

Binafsi navyohisi kuna zuio kusafirisha wanyama ila kuna mkubwa/wakubwa wanafanya hiyo biashara kinyemela. Madege makubwa ya nchi za kiarabu hayatui bure kilimanjaro na loliondo bali kuna jambo.
Yafaa uwazi kwenye hii kitu.
 
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Huyu jamaa ni miongoni mwa watu duni waliobahatika kupata majukumu makubwa
 
Nimesikia Msigwa akizungumza Wasafi FM ambapo amewahakikishia watanzania kuwa rasilimali zao zipo salama, hakuna wanyama wanaochukuliwa. Hata hivyo ametaka wenye ushahidi wa rasimali kutoroshwa wapeleke.

Gerson Msigwa amewataka watanzania kupuuzia uzushi unaoendelea mitandaoni kutoka kwa watu wanaoeneza taarifa potoshi kuhusu ndege zinazotua Kilimanyaro na Loliondo.

Amesema ni kawaida kwa ndege hizo kutua na kushusha watalii maeneo hayo.
Yaani umeshasahau Makampuni mwenyekiti yuko kazini anachapa kazi. Unadhani alioweka nafasi hiyo bure! Anao utaalamu.
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Hao wanyama anawazeesha bibi yako kishirikina?
 
Back
Top Bottom