Angesema Mwenyekiti wake Samia hapokei angeeleweka, unampigia Mwenyekiti wa Chama kingine asipopokea unapiga yowe?Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Msigwa kamkabidhi Makalla akili zake amebakishiwa kiduchu za kumtukania MboweAkili zako na za msigwa zinafanana
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
Sasa Mbowe ni wa kupokea simu ya kichaa?Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Tuseme kweli kwenye ukweli, ufyatu wa Nyerere ni nini?Labda kwako!
Upo sahihiUkimuona tu Msigwa unaweza ukadhani hana akili, akiongea ndiyo unathibitisha kabisaa kuwa hana akili.
Sijui Mbowe amekosa kaziSasa Mbowe ni wa kupokea simu ya kichaa?
Yaani Msigwa nilie kuwa namjua ndie wa kubebeshwa picha ya Mama Samia na kuitembeza jamani??
ANAMPIGIA SIMU ZA NINI MWANAUME MWENZAKE?UNALALAMIKA MWANAUME MWENZIO HAPOKEI SIMU ZAKO!UNATAKA NN NA USHAHAMA CHAMA!!Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Najazia "kutokupokea simu haimaanishi anakuogopa, sometimes anakupuuza.Kutokupokelewa simu haimaanishi mtu anakuogopa, sometimes hakutaki
Hebu angalia sura utafikiri anachomwa sindano ya x penUkimuona tu Msigwa unaweza ukadhani hana akili, akiongea ndiyo unathibitisha kabisaa kuwa hana akili.
Katiba mbovu.Tuseme kweli kwenye ukweli, ufyatu wa Nyerere ni nini?
Sisi tupambane kuibadiliKatiba mbovu.